Search

220 results for Happiness Tesha :

  1. Ahukumiwa kunyongwa kwa kuua watu saba

    Jaji amesema baada ya kumkata mapanga rafiki yake alimkata na mke wa rafiki yake, Sara Dunia na kumuua na baadaye wakati anatoka akakutana na mama mzazi wa Januari akitokea chumbani kwake naye...

  2. Jamhuri yapewa siku 14 kukamilisha mashitaka kwa watumishi wa halmshauri

    Washtakiwa hao ni pamoja na aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Igunga, Athumani Msabila, Aidan Mponzi na Tumsifu Kachira kutoka Ofisi ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi)...

  3. Dk Mpango awatahadharisha vijana wasitumike kisiasa kuchochea vurugu nchini

    Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amewataka vijana nchini kutokubali kutumika kisiasa katika kuchochea vurugu, uhasama na maandamano yasiyo na tija nchini.

  4. Uamuzi kesi ya watumishi halmashauri wakwama, hati kubadilishwa

    Mahakama ya Wilaya Kigoma imeshindwa kutoa uamuzi katika kesi ya watumishi 11 wa halmashauri akiwemo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Igunga Athumani Msabila, ikiutaka upande wa Jamhuri kufanya...

  5. Ukarabati Mv Liemba kugharimu Sh32 bilioni, kuanza mwezi ujao

    Meli hiyo yenye uwezo wa kuchukua abiria 600 na tani 200 za mizigo, ilikuwa ikifanya safari zake kati ya Tanzania na Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC), na kwamba baada ya matengenezo hayo...

  6. Mawakili wadai washitakiwa wawili hawahusiki tuhuma za utakatishaji fedha

    Kesi hiyo imefika leo katika Mahakama ya Wilaya Kigoma kwa ajili ya kutajwa mbele ya Hakimu Mfawidhi Hassan Momba

  7. Mvua yabomoa nyumba 140 Kigoma

    Zaidi ya wananchi 250 wa Kata ya Herembe Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma hawana mahala pa kuishi baada zao nyumba 140 kuezuliwa na upepo, kubomoka kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani humo.

  8. Majeruhi ajali Kigoma wapelekwa Bugando

    Majeruhi wa watatu wa ajali iliyotokea barabara ya Kibondo-Kakonko iliyohusisha gari aina ya Toyota Probox lililogongana na gari ya kampuni ya ujenzi ya barabara ya Chiko, wamepewa rufaa kwenda...

  9. Wanane wafa, sita wajeruhiwa ajalini Kigoma

    Watu wanane wamefariki dunia akiwemo mtoto wa umri wa mwaka mmoja na nusu na wengine sita wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari mawili katika Barabara ya Kibondo-Kakonko mkoani Kigoma.

  10. Likizo ya Hakimu yakwamisha kesi ya DED na wenzake 10 Kigoma

    Pamoja shtaka la kutakatisha fedha, wanashtakiwa hao pia wameshtakiwa kwa makosa ya kula njama kwa nia ya kutenda kosa, kugushi nyaraka, matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali...

Previous

Page 2 of 22

Next