Search

538 results for Joseph Lyimo :

  1. Ole Sendeka: Kama shida kuwatetea wananchi sitarudi nyuma

    Asema bunduki mbili za kivita, SMG na AK 47 zilihusika

  2. Ole Sendeka kuzungumza kushambuliwa kwake mchana huu

    Ole Sendeka na dereva wake Machi 29, 2024 gari lao lilishambuliwa kwa risasi walipofika eneo la Ndaleta wilayani Kiteto akielekea jimboni kwake.

  3. Ole Sendeka atoa kauli kushambuliwa, akumbuka tukio la Tundu Lissu

    Amesema anamshukuru Mungu amenusurika baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana wilayani Kiteto akienda jimboni kwake.

  4. Gari la Ole Sendeka lashambuliwa kwa risasi

    Gari la mbunge wa Simanjiro (CCM) mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka, limeshambuliwa kwa risasi akiwamo ndani.

  5. Bendera ya CCM yadaiwa kutumika kusafirisha wahamiaji haramu

    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara, John Nzwalile amelaani kitendo cha watuhumiwa wa usafirishaji wahamiaji haramu kutumia bendera ya chama hicho kufanyia...

  6. Sendiga: Tuungane kupinga ukatili wa kijinsia

    Amesisitiza kuwa ili vitendo hivyo vikomeshwe, kila mtu anapaswa kuwa mstari wa mbele kuvikemea kwa kutoa taarifa ngazi husika anapoona viashiria vya ukatili.

  7. Manyara yapatiwa mbwa wa Polisi

    Mbwa hao watakuwa na mchango mkubwa katika kuwasaidia askari kuimarisha doria na misako ya Polisi.

  8. Rufaa kesi ya Gekul yapigwa kalenda

    Ni rufaa ya jinai namba 577 ya mwaka 2024, kuhusu shambulio la kudhuru mwili, linalomhusu Pauline Gekul, akituhumiwa kumfanyia ukatili Hashim Ally.

  9. Vifo vya wajawazito na watoto vyapungua Manyara

    Idadi ya vifo vya wanawake wajawazito mkoani Manyara, imepungua kutoka wanawake wanane kwa mwaka hadi wawili kwa mwaka kutokana na mafunzo ya elimu ya uzazi na vifaa kwa wajawazito.

  10. Kairuki: Tutafanya mapinduzi ya uhifadhi wanyamapori

    Waziri Kairuki amesema Serikali imechukua hatua za kuboresha uhifadhi wa wanyamapori kwa kutumia teknolojia na mikakati bunifu.

Previous

Page 2 of 54

Next