Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

251 results for Rajabu Athumani :

  1. Rais Samia na mkakati wa kuifanya Tanga kuwa ufunguo wa uchumi

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema dhamira ya Serikali ni kuunganisha Mkoa wa Tanga na shoroba kadhaa ili kufungua biashara, utalii na hatimaye uchumi wa mkoa huo na taifa kwa ujumla.

  2. Rais Samia aahidi ujenzi shule za sayansi za wavulana

    Kilindi. Baada ya kukamilisha ujenzi wa shule za sekondari za sayansi za wasichana, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameahidi kuanza ujenzi wa shule hizo kwa upande wa wavulana. Kauli hiyo...

  3. Rais Samia ataka tathimini ya mashamba yasiyoendelezwa

    Chimbuko la agizo hilo ni hoja iliyoibuliwa na Mbunge wa Korogwe Vijijini, Timotheo Mzava aliyesema kuna mashamba mengi makubwa katika eneo hilo na hayaendelezwi.

  4. Waziri Ndejembi apokelewa kwa vilio mgogoro wa ardhi Handeni

    Mkazi wa Kata ya Kwenjugo, Mwajabu Kilo wakati akitoa malalamiko yake kwa Waziri Ndejembi amesema ameshindwa hadi kumsomesha mtoto wake kutokana na kufuatilia haki zake kwenye viwanja ambavyo...

  5. Waumini wa Kiislamu waibua mjadala adhabu ya fimbo madrasa

    Viongozi na waumini wa dini ya Kiislamu, wameeleza wasiwasi wao kuhusu matumizi ya adhabu kali kwa watoto wanaosoma madrasa, wakisisitiza zinazotolewa lazima ziwe za mafunzo na za kumjenga mtoto...

  6. DC Msando atangaza msako wanafunzi 356 wasioripoti shuleni

    Mkuu wa Wilaya ya Handeni (DC) mkoani Tanga, Albert Msando ameliagiza Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na watendaji wa kata kuwatafuta wanafunzi 356 wa kidato cha kwanza wa shule za sekondari...

  7. Dk Biteko atoa maagizo Ewura, asifu utekelezaji wa kazi

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ameutaka uongozi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), kuhakikisha upatikanaji endelevu wa mafuta kwa gharama halisi,...

  8. Wachekelea wingi vituo uboreshaji Daftari la Kudumu la Mpiga Kura

    Baadhi ya wananchi wa Mkoa wa Tanga waliojitokeza kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura wamepongeza zoezi hilo, hasa kutokana na uwepo wa vituo vingi vya kujiandikisha...

  9. Handeni kufunga kamera za barabarani kudhibiti ajali, uhalifu

    Ndani ya siku 45 kati ya Desemba 2024 mpaka Januari 2025, watu zaidi ya 20 wamefariki dunia kwa ajali mbalimbali wilayani Handeni huku wengine wakijeruhiwa na kuachwa bila viungo sababu ya ajali...

  10. Wawili wafariki dunia ajali Handeni, yumo askari JWTZ

    Watu wawili wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyohusisha Toyota Noah kuigonga Toyota Canter ambayo ilikuwa pembeni ya barabara usiku wa kuamkia leo Jumatatu Januari 10, 2025 katika eneo la...

Previous

Page 2 of 26

Next