‘Mlinzi wa Mbowe’, wenzake watatu walivyoachiwa huru
Miongoni mwa washirika wanne wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya walioachiwa huru juzi usiku na Mahakama baada ya kukiri kosa, ni aliyekuwa mlinzi wa Mwenyekiti wa ChademaTaifa,...