Wahamiaji haramu 47 wafikishwa mahakamani Wahamiaji haramu raia wa Ethiopia 47 wamefikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro.
Sabaya na wenzake wafikishwa tena mahakamani Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wamefikishwa tena katika mahakama ya hakimu mkazi Moshi leo Agosti 12.
Raia 47 wa Ethiopia wakamatwa tena Kilimanjaro Wahamiaji hao haramu 47 raia wa Ethiopia wamekamatwa leo Agosti 11 wakipita njia za panya katika eneo la Mgagao, Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro, wakisema wanaelekea nchi ya Afrika Kusini...
Mwanafunzi ahaha kulipa deni la Sh9 milioni Mloganzila Mwanafunzi wa Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI), Hombolo mkoani Dodoma, Lightness Shirima (22) amesema anahangaika kulipa deni la matibabu la Sh9 milioni aliloliacha baba yake aliyefariki dunia...
Ma-RC waja na vipaumbele Siku chache baada ya kuteuliwa na kuapishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa wakuu wa mikoa, viongozi hao wameanza kuripoti maeneo yao ya kazi huku wakibainisha vipaumbele vyao.
Wananchi KIA ‘wamlilia’ Rais Samia kuingilia kati mgogoro wa eneo Wananchi wa vijiji vitano vinavyouzunguka uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) wameiomba Serikali kutowaondoa kwenye eneo hilo kwa kuwa ni wazawa wa eneo hilo.
Serikali yaokoa watu 182 usafirishaji haramu wa binadamu Serikali ya Tanzania imefanikiwa kuwaokoa watu 182 waliokuwa wamesafirishwa kiharamu ndani na nje ya nchi ndani ya mwaka mmoja huku baadhi yao wakiokolewa kutoka Asia.
Sabaya afanyiwa upasuaji, kesi yaahirishwa Mawakili wa upande wa utetezi kesi namba mbili ya mwaka 2022, inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wameieleza mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kuwa hali...
Sabaya atinga mahakamani akiwa na bandeji kichwani Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Moshi huku akiwa amefungwa bandeji kichwani.