Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

141 results for Bahati Mwatesa :

  1. Madiwani Lindi wakataa michezo kubahatisha

    Kukithiri kwa michezo ya kubahatisha katika Manispaa ya Lindi kumetajwa kuwa chanzo cha wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kutokwenda shule.

  2. Watakiwa kuzalisha chakula kuondokana na udumavu

    Masasi. Wakulima katika mikoa ya Lindi na Mtwara wameshauriwa kuzalisha chakula kwa kutumia mbegu za asili na ambazo zimefanyiwa utafiti, jambo ambalo pia litawezesha mikoa hiyo kuwa kuwa chakula...

  3. Wakulima wapewa mbinu bei ya korosho ipande

    Liwale. Kaimu Mrajisi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Lindi, Cesilia Sositenes amewataka wakulima wa mazao ya korosho kupeleka kwenye maghala mapema ili kuuza bei nzuri kwa wanunuzi. Cesilia...

  4. ‘Msiwatoze wananchi fedha wanapokuja kuchukua vitambulisho vya Taifa’

    Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga amewataka watendaji wa vijiji, mitaa na Kata, kutoka katika Halmashauri ya Mtama na Manispaa ya Lindi kutowatoza wananchi gharama yoyote ya fedha pindi...

  5. Bashe agoma korosho za Nangurukuru kuuzwa bei ya chini

    Waziri wa kilimo Hussen Bashe amemwagiza Mkurugenzi wa bodi ya korosho kufatilia korosho zilizopo ghala la Nangurukuru, kuhakikisha kama zina ubora.

  6. Takukuru Lindi yaokoa zaidi ya Sh26 millioni

    Fedha hizo zimetokana na ufuatiliaji wa zao la ufuta la kilogramu 7001 zilizouzwa kupitia Chama cha Msingi cha Ushirika cha Mbwemkuru kilichopo Wilaya ya Liwale mkoani Lindi.

  7. Bodi ya Korosho kutembelea maghala mikoa ya kusini

    "Bei izidi kupanda kwani bei ya mwaka jana ilikatisha tamaa, lakini kwa mwaka huu inaleta matumaini, maana bei inapokuwa nzuri hata mkulima unapata matumaini ya kuendelea kulima,”

  8. Wananchi walia maji kuweka ndoa zao hatarini

    ''Natoka nyumbani saa tisa usiku kwenda kuchota maji, kurudi hadi saa 8 mchana hivi mwanaume gani anaweza kuvumilia hali hiyo, tunagombana na wanaume zetu kila wakati,"

  9. DC awatimua wafugaji Kimambi

    "Sasa hivi Serikali ya Wilaya ya Liwale tumeshatenga hekta 42, 000 kwa ajili ya wafugaji, bado japo bado maeneo hayo hajayapimwa...lengo la kufanya hivyo nikuondoa kabisa migogoro ya wakulima na...

  10. Ndugu wawili wafariki dunia wakivua samaki Lindi

    Ndugu wawili wa familia moja wamefariki dunia kwa kuzama kwenye Bahari ya Hindi katika pwani ya Shuka mkoani Lindi, baada ya kwenda kuvua samaki.

Previous

Page 12 of 15

Next