Waliopandisha bendera Mlima Kilimanjaro washuka Wadau waliopanda Mlima Kilimanjaro kwa siku sita kwa ajili ya kupandisha bendera katika kilele cha mlima huo kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika wamerejea huku 79 kati ya 150 waliopanda...
Waelezea waliyoyaona ndani ya miaka 60 ya Uhuru Mbali na sherehe za miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania kufanyika kitaifa jijini Dar es Salaam leo Desemba 9, watanzania wengine walitumia sherehe hizo kufanya shughuli za kijamii na wengine kutoa...
Auawa kwa fumanizi, muuaji ajisalimisha polisi Mkazi wa kijiji cha Kibaoni wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, Juvenal Claudi (20) ameuawa kwa kukatwa katwa na mapanga baada ya kufumaniwa akitaka kufanya mapenzi na na mke wa mtu.
Dk Tulia awataka Watanzania kutangaza utalii wa ndani Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Tulia Ackson amewataka Watanzania kuwa mstari wa mbele kutangaza utalii wa ndani na sio kuwaachia wageni kuja kuutangaza mlima Kilimanjaro.
RC Kagaigai awataka Kia kuharakisha uagizaji magari ya zimamoto Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai ameutaka uongozi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa (KIA) kuharakisha uagizwaji wa magari mawili ya kisasa ya zimamoto ili uwanja huo uendelee kuwa na...
Amchoma mtoto sehemu za siri na moto wa sigara Jeshi la Polisi mkoani hapa,linamshikilia Apolikarp Mushi kwa tuhuma za kumuunguza sehemu za siri kwa moto wa sigara, mjukuu wake wa kiume pamoja na kumtegua nyonga kwa kutumia kitu kizito.
Hosteli ya kisasa ya wanafunzi yazinduliwa Moshi Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka, Profesa Jafary Kideghesho amesema kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa hosteli ya kisasa itasaidia kuondoa changamoto ya malazi pamoja na kuongeza...
Waliovamia vyanzo vya maji Kilimanjaro kuchuliwa hatua Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Stephen Kagaigai amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Moshi,Said Mtanda kuchukua hatua za haraka kuwadhibiti watu waliovamia eneo lenye chanzo cha maji Njoro ,kata ya...
IGP Sirro ataka watuhumiwa watendewe haki Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amesema watuhumiwa wanatakiwa kuheshimiwa na kutendewa haki kama watu wasio na hatia mpaka itakapobainika vinginevyo.
Mzee avamiwa na nyuki, afariki dunia Mkazi wa kijiji cha Rau River Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Mathias Mallya (75) amefariki dunia baada kushambuliwa na kundi la nyuki wakati akiwa nyumbani kwake.