Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1449 results for Janeth Joseph :

  1. Waziri Ummy aagiza kamati kuchunguza Sh50 milioni ujenzi zahanati Hai

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu ameagiza kuundwa kwa kamati ndogo ya uchunguzi wa matumizi ya Sh50 milioni zilizotolewa na Serikali...

  2. RC Kilimanjaro: Wanaomiliki silaha kinyume cha sheria wazisalimishe

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amewataka wananchi wa mkoa huo kusalimisha silaha wanazozimiliki kwa njia haramu katika vituo vya polisi au ofisi za Serikali.

    New Content Item (1)
  3. Maduka 43 yateketea Tunduma

    Moto ulioanza kuteketeza maduka katika Soko la Manzese mjini Tunduma mkoani Songwe kuanzia alfajiri ya leo Jumanne Novemba 16, 2021 umedhibitiwa huku maduka 43 yakiteketea.

  4. Profesa Mkenda alia nyani kuhatarisha usalama wa watoto Rombo

    Mbunge wa Rombo, Profesa Adolf Mkenda amesema bado wilaya ya Rombo inakabiliwa na changamoto kubwa ya nyani ambao wamekuwa wakihatarisha usalama wa watoto pamoja na kuharibu mali ikiwemo mazao.

  5. Wahitimu mafunzo ya mgambo Hanang' kulinda mradi bomba la mafuta

    Wahitimu 83 wa mafunzo ya mgambo Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara wameahidiwa ajira ya ulinzi katika mradi wa bomba la mafuta kutoka Uganda linalopita katika eneo hilo.

  6. Katibu wa CCM Kilimanjaro akemea migogoro ya ndani

    Katibu wa CCM wa Mkoa wa Kilimanjaro, Jonathan Mabihya amesema migogoro pamoja na uhusiano mbaya wa viongozi kwenye chama hicho unakidhoofisha na kupunguza heshima kwa jamii inayowazunguka.

  7. RC Kagaigai ataka viongozi walinde rasilimali

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali mkoani humo kuimarisha mshikamano na mahusiano mazuri ili waweze kulinda rasilimali za nchi.

    New Content Item (1)
  8. Kagaigai awataka wakulima wa kahawa kuongeza ubora

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amewataka wakulima na wazalishaji wa kahawa nchini kuongezea ubora zao hilo lishindane katika soko la kimataifa na kupata bei nzuri.

  9. RC Kagaigai awataka CCM, Serikali kusimamia miradi ya maendeleo

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amewataka viongozi wa Serikali na CCM kuanzia ngazi za vijiji, vitongoji na kata mkoani humo kuwa mstari wa mbele kuhakikisha wanasimamia ipasavyo...

  10. Wanawake washindwa kwenda shamba wakihofia nyani

    Baadhi ya wanawake wa vijiji vya KKata ya Kirongo Samanga wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro wanashindwa kwenda shambani kufanya shughuli za kilimo kwa kuhofia makundi ya nyani wanaowavamia.

Previous

Page 121 of 145

Next