Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1449 results for Janeth Joseph :

  1. Mwenyekiti wa kitongoji amuua mkewe kwa wivu wa mapenzi, naye ajinyonga

    Mwenyekiti wa kitongoji cha Urua chini, kijiji cha Mfuruashe wilayani Rombo, Agustine Moshi(35) amemuua mkewe, Anastasia Agustine (31) kwa kumkata kata na kitu chenye ncha kali na kisha mwenyewe...

  2. Wananchi Moshi walalamikia ongezeko bei ya nyama

    Walaji wa nyama ya ng’ombe katika Manispaa ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro wamelalamikia bei ya nyama hiyo kupanda ghalfa kutoka Sh8,000 na kufikia Sh10,000.

  3. DC Mtanda awaonya watakaotafuna fedha za miradi Moshi

    Mkuu wa Wilaya ya Moshi (DC), Said Mtanda ametoa onyo kwa wanaotafuna fedha za miradi ya maendeleo ya wananchi kuacha ili fedha zinafanya yale yaliyokusudiwa.

  4. Sumaye azindua wiki ya Hanang' kwa kuwaonya wanasiasa

    Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye amezindua maadhimisho ya wiki ya maendeleo Hanang' kwa kuwataka wanasiasa kuacha kutumia kipindi cha uchaguzi kuingilia na kuharibu mshikamano uliopo kati ya...

  5. Wanawake waishauri Serikali kuhusu ukatili wa kijinsia

    Mtandao wa wanawake wa dini mbalimbali katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini wameiomba Serikali kufanya marekebisho ya sheria zinazochochea ukatili wa kijinsia ikiwemo masuala ya mirathi na ndoa...

  6. RC Kagaigai kuwashughulikia waliokwama kuwaondoa machinga

    Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amemwagiza kamanda wa polisi wa mkoa huo kuhakikisha wanachukuliwa hatua wanaokwamisha zoezi la kuwaondoa wamachinga.

  7. Wakulima Manyara wanufaika na mikopo ya matrekta

    Wakulima 25 wa Mkoa wa Manyara, wamenufaika na mkopo wa matrekta 25 ya thamani ya Sh1.3 bilioni kwa lengo la kuboresha kilimo na kuongeza tija.

  8. RC Kilimanjaro atoa maagizo ujenzi jengo la mama na mtoto Mawenzi

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amemwagiza mkandarasi anayesimamia mradi wa jengo la mama na mtoto katika hospitali ya Rufaa Mawenzi kukamilisha ujenzi huo ndani ya muda uliopangwa.

  9. Maabara kubwa ukanda wa Afrika Mashariki kujengwa Moshi

    Katika kuiunga mkono Serikali kwenye sekta ya afya, Kanisa la Kilimanjaro International Christian Centre (KICC) lililopo mkoani Kilimanjaro kwa kushirikiana na wadau kutoka nchini Marekani...

  10. Serikali kutenga bajeti ya Kilimo hai 2022

    Serikali ya Tanzania na Mapinduzi Zanzibar, zimeazimia kutenga bajeti kwa ajili ya kuendeleza kilimo hai nchini.

Previous

Page 122 of 145

Next