Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1449 results for Janeth Joseph :

  1. Naibu Waziri wa Afya ataja wanaosababisha upotevu wa dawa

    Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel amesema kuna upotevu mkubwa wa dawa na fedha nchini unaosababishwa na baadhi ya watumishi wa wasio waadilifu.

  2. Mwanafunzi chuo cha misitu auawa

    Mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo cha Misitu Tanzania (FITI), Felista Daudi (21) Tanzania ameuawa na mwili wake kutupwa kwenye korongo katika eneo la Laliga mjini Moshi.

  3. Choo cha wanafunzi Shule ya Sekondari Mashati chajaa

    Mkuu wa shule hiyo yenye zaidi ya wanafunzi 600 asema choo kinachotumika kinaweza kuleta magonjwa

  4. Serikali ya Tanzania yaweka msimamo kuhusu mashamba

    Waziri wa Kilimo, Profesa Adolf Mkenda amesema kuanzia sasa mashamba yote ambayo serikali ina dhamana nayo moja moja hayatalimwa mazao mengine zaidi ya ngano na shayiri.

  5. Viongozi wilaya ya Mwanga wapewa siku saba kujisalimisha

    Serikali imetoa wiki moja kwa viongozi wa Wilaya ya Mwanga kujisalimisha kwa madai kuwa wanashirikiana na wavuvi haramu kuhujumu bwawa la nyumba ya Mungu lililopo Wilaya ya Mwanga mkoani...

  6. Serikali ya Tanzania yamaliza mgogoro wa ardhi uliodumu miaka 40

    Serikali ya Tanzania imemaliza mgogoro wa ardhi uliodumu zaidi ya miaka 40 kati ya wananchi wa kijiji cha Mlangoni na watawa wa Kanisa Katoliki shirika la kazi ya roho mtakatifu wilayani Siha...

  7. Ofisa Halmashauri mbaroni kwa tuhuma za kutapeli watumishi wa umma

    Ofisa ugavi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Dominic Mwapombe amekamatwa kwa agizo la Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya akidaiwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kampuni moja (jina...

  8. Wananchi wasaka maji usiku wa manane wilayani Rombo

    Wananchi wa Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji hali inayowasababishia kukesha mtoni usiku kwa zaidi ya saa tisa wakigombania maji ambayo hata hivyo sio safi...

  9. Mwalimu auawa usiku na mtu asiyejulikana

    Angelita Sudi (58), mwalimu wa Shule ya Msingi Olele wilayani Rombo ameuawa nyumbani kwake na watu wasiojulikana, alipotoka nje usiku kwenda msalani.

    New Content Item (1)
  10. Majaliwa awataka ma-RC kutuma taarifa maadhimisho siku ya Ukimwi

    Waziri mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewapa siku 30 wakuu wa mikoa nchini kutuma taarifa za maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani kwa tume ya kudhibiti Ukimwi (Tacaids) sambamba na...

Previous

Page 139 of 145

Next