Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

155 results for Mary Clemence :

  1. Wananchi wamtaka mbunge kunywa maji ‘machafu’

    Wakazi wa mitaa ya Milupwa na Misunkumilo Manispaa ya Mpanda wamelalamikia Changamoto ya ukosefu wa maji ambapo inawalazimu kutumia maji yasiyo safi na salama.

  2. Halmashauri yasitisha usafirishaji mpunga nje

    Mwenyekiti wa halmashauri hilo, Silasi Ilumba kwaniaba ya madiwani amebainisha hayo kwenye kikao cha robo ya nne cha kujadili utekelezaji wa miradi na mengineyo leo Augosti 2, 2023.

  3. Petroli, dizeli yaadimika Katavi

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida, shughuli mbalimbali za kibiashara na usafirishaji zimesimama katika mji wa Mpanda baada ya mafuta ya dizeli na petrol kuadimika.

  4. Sababu za wananchi  wilayani Tanganyika kukimbia urasimishaji ardhi zabainishwa

    Uelewa mdogo kuhusu umuhimu wa kurasimisha ardhi kwa ajili ya kupata hati za kimila, ni moja ya sababu iliyosababisha baadhi ya wananchi wa kijiji cha vikonge wilayani Tanganyika, kuwakimbia...

  5. Watoto watatu familia moja wafa maji wakivua mtoni

    Watoto watatu wa familia moja Lucia Lazima (10), Kabisi Lazima (8), na Makala Lazima (6), wakazi wa Kitongoji cha Kayenze B wilayani Mpanda, wamekufa maji wakati wakivua samaki Mto Kamilala.

  6. Aliyefunga ndoa na wake watatu kwa mpigo matatani

    Athuman Yengayenga aliyefunga ndoa na wake watatu hivi karibuni mjini Mpanda ameingia matatani baada ya kushindwa kukamilisha kandarasi ya ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa shule ya msingi...

  7. PRIME Simulizi kijana aliyeoa wake watatu kwa mpigo Katavi

    “Mpaka nafikia hatima ya kuoa wanawake watatu si tamaa. Nilifikiria sana, hapo mwanzo nikiwa na umri wa miaka 18 nilioa mwanamke mmoja alinisumbua sana.”

  8. Watano mbaroni Katavi wakituhumiwa  wizi wa vifaa vya kieletroniki

    Jeshi la polisi mkoani Katavi linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kuiba televisheni 10, redio tatu na kompyuta moja.

  9. Wanne mbaroni tuhuma ya kumteka mtoto Katavi, wakitaka Sh50 milioni ili kumuachia

    Watu wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi kwa tuhuma za kumteka mtoto mdogo wa kike (9) mwanafunzi wa darasa la nne katika shule ya msingi Mizengo Pinda Manispaa ya Mpanda...

  10. Wananchi wamvamia mwekezaji mgodini

    Mgodi wa Kijiji cha Dirif uliopo Manispaa ya Mpanda umesitishwa kutoa huduma na Serikali kutokana na taharuki iliyotokea baina ya wananchi na wasimamizi wa mgodi huo kikundi cha Kagera...

Previous

Page 3 of 16

Next