Search

1067 results for Habel Chidawali :

  1. Profesa Kabudi aomba reli zote zipite Kilosa

    Mbunge wa Kilosa (CCM) Profesa Palamagamba Kabudi ameiomba Serikali kuifufua reli kutoka Kilosa hadi Kidatu kwa kuifanyia ukarabati ili iweze kutoa huduma.

    New Content Item (2)
  2. Kilio cha wananchi Ulyankulu bado mfupa mgumu

    Dodoma. Serikali imetoa sababu za kwa nini haifanyi uchaguzi wa udiwani katika kata tatu za jimbo la Ulyankulu mkoani Tabora. Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Dk Festo Dugange amezitaja...

  3. PRIME Bima kwa wote ilivyopita kwenye tanuru la moto

    Licha ya kupitishwa na Bunge, Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote wa mwaka 2022 umepita katika tanuri la moto kutokana na baadhi ya wabunge na Spika wa Bunge hilo, Dk Tulia Ackson kuonyesha shaka...

  4. Ole Sendeka alipuka bungeni akitaka ‘shingo ya mtu’

    Mbunge wa Simanjiro (CCM), Christopher Ole Sendeka amewataka mawaziri ambao wizara na taasisi zilizo chini yao zimetajwa katika ubadhirifu, wawajibike wenyewe.

  5. Serikali mbioni kuirejesha Ligi ya Muungano

    Serikali iko mbioni kurudisha Ligi ya Muungano lakini imetoa sababu ya kukosa ufadhili kwamba limekuwa ni tatizo.

  6. Vipodozi, vinywaji vikali, kulipia bima ya afya

    Hatimaye Serikali imeuwasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa watu wote wa mwaka 2022 ikiainisha vyanzo mbalimbali vya mapato vitakavyogharamia watu wasiojiweza vikiwemo vya...

    New Content Item (2)
  7. Muswada bima ya afya kwa wote watua bungeni

    Waziri Ummy amesema sheria hiyo inakwenda kuondoa malalamiko ikiwemo uzuiaji wa miili ya watu katika hospitali kwa madai ya gharama za matibabu walipokuwa awagonjwa.

    New Content Item (2)
  8. Serikali yaomba Bunge kupitisha mkataba, yatilia shaka

    Kamati ya Bunge imeomba ibara ya 26 na 26(4) zifanyiwe marekebisho kwa kuwa zikiachwa kama zilivyo zitakuwa na shida.

  9. Zahanati mbili zasaidia wanawake 600 kujifungua kwa mwezi

    Zahanati hizo zipo katika mikoa ya Geita na Tabora ambazo hata hivyo zinatajwa kuwa majengo yake yamechoka na zinahitaji marekebisho.

  10. Bunge laahirishwa kwa muda, chanzo hitilafu ya vipaza sauti

    Bunge limeahirishwa kwa dakika 15 ili kupisha ukaguzi wa mitambo iliyopelekea hitilafu ya vipaza sauti.

Previous

Page 4 of 107

Next