Search

644 results for Jesse Mikofu :

  1. PRIME Wazanzibar wengi hawana mpango wa kustaafu

    Kukosekana kwa elimu ya kujiandaa kustaafu, mfumo wa elimu usiomuandaa mtu kujiajiri na uwepo wa pensheni inayotolewa na Serikali kwa wazee zimetajwa kuwa miongoni mwa sababu ya asilimia 47 ya...

  2. Rais Mwinyi: Serikali zinaendelea kushughulikia changamoto za Muungano

    Utatuzi wa changamoto hizo umezidi kujenga imani kubwa kwa wananchi kuhusu uimara wa Muungano huo

  3. Rais Mwinyi ahimiza amani, kuendeleza mema ya mwezi wa Ramadhan

    Dk Mwinyi amesema waislamu mbali na kujiweka na makatazo ya Mungu, walijitahidi kuswali, kusoma Quran

  4. PRIME Tatizo la maji pasua kichwa Zanzibar, sababu zatajwa

    Unguja. Pamoja na Kisiwa cha Zanzibar kuzungukwa na maji ya bahari kila eneo, bado wananchi wake wanahangaika kupata huduma ya maji safi na salama. Zanzibar ina ukubwa wa kilometa za mraba...

  5. 'Karume aenziwe kwa viongozi kujishusha kwa wananchi'

    Maoni ya wananchi kwenye kumbukizi ya kiongozi huyo ni kusaidiwa wasiokuwa na uwezo kama ambavyo alifanya shujaa huyo wa Mapinduzi wakati wa uhai wake.

  6. Dk Mwinyi ahimiza hofu ya Mungu kwa watumishi wa umma

    Rais wa Zanzibar wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi amesema ni kuona mabadiliko makubwa ya kiutendaji kwa watumishi na wateule aliowapa majukumu ya kumsaidia

  7. Taasisi za masuala ya haki zapewa angalizo

    Mwenyekiti wa Kamati ya Kusimamia ofisi za viongozi wakuu wa kitaifa ya Baraza la Wawakilishi, Machano Othman Said amezitaka taasisi zinazojihusisha na masuala ya haki kuhakikisha zinashirikiana...

  8. Polisi, ACT Wazalendo kutifuana taarifa za uhalifu Zanzibar

    Imeelezwa kuwa, hivi karibuni kumeshuhudiwa zikisambazwa taarifa kuhusu hali ya uhalifu na usalama kwa masilahi yanayoonyesha dhahiri yana malengo binafsi ya kisiasa

  9. Kamishna Hamad: Hakuna sheria inayokataza watu kula mchana Z'bar

    Kaimu Kamanda wa Polisi, Abubakar Khamis Zanzibar amesema haijathibitika kama vijana hao waliokamatwa walikuwa wanavuta bangi au wanakula mchana

  10. Dk Mwinyi: Tumuenzi Karume kuendeleza umoja wa kitaifa

    “Ni imani yangu tutaziishi tunu hizi alizotuachia Karume ambazo zitabadilisha fikra na mienendo na kuleta utendaji wenye kuboresha maisha ya wananchi,” amesema Dk Mwinyi.

Previous

Page 4 of 65

Next