Meya Iringa akemea wananchi kutupa taka za moto kwenye makontena
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada amesema Manispaa hiyo inakabiliwa na uchakavu wa makontena ya kuhifadhia taka kutokana na wananchi kutupa taka zenye moto katika kontena hizo.