Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

82 results for Berdina Majinge :

  1. Kihongosi: Hakuna nchi isiyokopa

    Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa, Kenan Kihongosi amesema suala la nchi kukopa kwao sio hoja kwa sababu hakuna Serikali duniani isiyokopa kwa ajili ya maendeleo.

  2. BREAKING NEWS: Ajali yaua tisa Iringa, yajeruhi watatu

    Watu tisa wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari aina ya hiace ya kubeba magazeti iliyokuwa ikitoka jijini Dar es Salaam kuelekea jijini Mbeya.

  3. Hospitali rufaa Iringa sasa kutoa viungo bandia

    Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Iringa imeanza kutoa huduma za viungo bandia kwa wagonjwa waliopoteza baadhi ya viungo ajalini jambo linalotajwa kuwa litapunguza gharama kwa wagonjwa waliokuwa...

  4. Wawili wanaswa na nyara za Sererikali Iringa

    Watu wawili mkoani Iringa wamekamatwa na meno ya tembo yakiwa na uzito wa kilogramu 65.

    New Content Item (1)
  5. Polisi yawakamata watoto wa mitaani 22 Iringa

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limewakamata watoto wa mitaani 22 kwa tuhuma za kutumiwa kufanya uhalifu wa matukio mbalimbali.

  6. Wahitimu Veta washauriwa kutumia vyema taaluma yao

    Wahitimu wa chuo cha ufundi Veta mkoani Iringa wameshauriwa kutumia elimu ya ufundi waliyoipata kujiajiri mtaani na si vinginevyo.

  7. Meya Iringa akemea wananchi kutupa taka za moto kwenye makontena

    Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada amesema Manispaa hiyo inakabiliwa na uchakavu wa makontena ya kuhifadhia taka kutokana na wananchi kutupa taka zenye moto katika kontena hizo.

  8. Viongozi wa dini watakiwa kukemea ukatili wa kijinsia

    Viongozi wa dini wametakiwa kukemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa waumini ili kuondokana na matendo ya ukatili katika familia zao na jamii.

  9. Viongozi watakiwa kufanya kazi kwa weledi

    Mwenyekiti Baraza la Taasisi zisizo za kiserikali nchini, Lilian Badi ametoa wito kwa viongozi waliopewa dhamana ya kuongoza katika nyanja mbalimbali ndani na nje ya Serikali kufanya kazi kwa...

  10. Madiwa watakiwa kusimamia ujenzi madarasa Iringa

    Madiwani mkoani Iringa wametakiwa kusimamia miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa inayotekelezwa katika halmashuri zao kwa kufika eneo la ujenzi.

Previous

Page 5 of 9

Next