Serikali kugharamia msiba watu 10 waliofariki ajalini Kilimanjaro
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amesema Serikali mkoani humo, itabeba msiba wa watu 10; waliopoteza maisha katika eneo la Dachikona, Kijiji cha Wiri, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro.