Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

141 results for Bahati Mwatesa :

  1. Kibano cha Waziri Aweso kwa mkandarasi

    Akizungumza jana Ijumaa Januari 26, 2024 Waziri Aweso amesema kuwa hadi ifikapo Februari 26, mradi huo uwe umeshakamilika ili wananchi wapate maji.

  2. Aweso agawa pikipiki zilizofungiwa stoo miaka mitatu

    Aidha Meneja wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa), Muhibu Lubasa amesema kuwa pikipiki hizo 22 ni kwa ajili ya watumia maji wilaya zote.

  3. Wimbi lasababisha kifo cha mvuvi baharini

    Kamanda Mwasabije amesema mvuvi huyo alikuwa anaenda kufuata chombo chake cha uvuvi kwenye maji, ndipo mawimbi makubwa yakamzamisha akashindwa kuibuka.

  4. Watatu wafariki gari dogo likigongana na lori

    Chanzo cha ajali hiyo ni kimeelezwa kuwa ni uzembe wa dereva wa gari aina ya Toyota Hillux aliyehama upande wake wa kushoto bila kuchukua tahadhari.

  5. Lori latumbukia mtoni, mmoja amefariki dunia

    Daraja lililopo eneo la Mbecha Barabara ya Mbecha-Ndanda, Kata ya Nanganga wilayani Ruangwa limekatika na kusababisha lori kutumbukia mtoni na kusababisha kifo cha mtu mmoja.

    New Content Item (22)
  6. Majaliwa, Kinana wataka CCM itoe fomu moja ya Urais kwa Samia

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Abdulrahman Kinana amesema utamaduni katika chaguzi za ndani za chama hicho utaendelezwa kwenye Uchaguzi Mkuu ujao 2025 kwa kupitisha jina...

  7. Afariki akiogelea kufuata mtumbwi wake

    Zuberi ameeleza kuwa, marehemu anavua samaki katika Pwani ya kijiweni na jana alifanya hivyo kwa kuwa yalikuwa mazoea yake ya kuogelea kwenda upande wa pili, lakini alipofika katikati, maji...

    New Content Item (1)
  8. Uzalishaji madini ya kinywe kuanza karibuni Ruangwa

    Mkuu wa Wilaya wa Ruangwa, Hassan Ngoma amesema kukamilika kwa mradi huo kutachochea ukuaji wa sekta ya madini na maendeleo katika wilaya hiyo, huku akiomba huduma ya umeme ifike katika kijiji...

  9. Wanakijiji Chikombwe waomba muda zaidi wahame hifadhini

    Wakazi wa Kitongoji cha Nang'ulungu, Kijiji cha Chikombwe mkoani Lindi wameiomba Serikali iwaongezee muda wa kukaa katika eneo la Hifadhi ya Msitu wa Nyengedi baada ya kupewa siku 60 za kuhama.

  10. Polisi Lindi kuwabana madereva

    Lindi. Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani mkoani hapa, limesitisha safari kwa baadhi ya magari ya abiria baada ya kubainika kuwa na hitilafu. Hayo yamesemwa leo Jumanne Desemba 12...

    New Content Item (1)
Previous

Page 10 of 15

Next