Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

140 results for Stephano Simbeye :

  1. Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka mitatu

    Mfanyakazi wa shambani afungwa jela maisha gerezani baada ya kukiri kumbaka mtoto wa mwajiri wake mkoani Songwe.

  2. Anayedaiwa kuwa askari JKT ashushiwa kipigo na wananchi wenye hasira

    Mtu anayedaiwa kuwa askari wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) amepigwa na wananchi wenye hasira wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe baada ya yeye na wenzake kujaribu kuwakamata vijana wanaodaiwa kubeba...

  3. Chadema walaani ofisi yao kuchomwa moto

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa kimelaani tukio la ofisi yao katika Jimbo la Tunduma mkoani Songwe, kuchomwa moto na watu wasiojulikana.

  4. Mbunge wa Mbozi matatani kwa madai ya kumshambulia Katibu wa UVCCM

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, limemhoji Mbunge wa Mbozi, George Mwenisongole kwa tuhuma za kupiga na kujeruhi, huku likiwatafuta watu wengine wawili wanaodaiwa pia kuhusika katika tukio hilo.

  5. Askari saba wafukuzwa kazi kwa kuvuka mpaka, kuingia Malawi

    Jeshi la Polisi limewafukiza kazi askari wake wa kituo cha Polisi Wilaya ya Ileje baada ya kukutwa na kosa la kuvuka mpaka wa Tanzania na kuingia Malawi wakiwa wamevaa sare za Jeshi na silaha za...

  6. Madereva Tunduma waandaa mgomo, RC aonya

    Madereva wanaofanya safari zao nje ya nchi kupitia mpaka wa Tunduma wameandaa mgomo kushinikiza kero zao kufanyiwa kazi.

  7. Wafanyakazi watano wa TRA wafariki ajalini

    Wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Landcluser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso.

  8. UVCCM wamuonya Diallo, wadai anawadhihaki viongozi wastaafu

    CCM imelaani kauli ya kubeza viongozi wastaafu iliyotolewa na mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Mwanza, Antony Diallo katika mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha televisheni nchini.

  9. ‘Mnaotaka uongozi CCM mwaka 2022 shirikini vikao vya shina’

    Katibu mkuu wa CCM, Daniel Chongolo amesema wanachama wa chama hicho tawala nchini Tanzania wanaotarajia kuwania uongozi utakaofanyika mwaka 2022 watapimwa kwa ushiriki wao katika vikao vya shina.

    New Content Item (1)
  10. Madiwani Mbozi wapitisha azimio kutokuwa na imani na mkurugenzi

    Madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wamepitisha azimio la kutokuwa na imani na mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Hanji Godigodi kutokana na upotevu wa Sh187 milioni za ushuru...

Previous

Page 12 of 14

Next