DC aingilia kati kunyanyaswa kwa mjane Mgogoro ulianza baada ya mjane kugoma kurithiwa na shemeji yake baada ya mumewe kufariki mwaka 2016.
Ukikamatwa bodaboda, gari yako inaishia huku Utata umeibuka kuhusu hatima ya pikipiki na magari yanayokamatwa na Jeshi la Polisi nchini kwa makosa mbalimbali, huku kukiwa na madai ya vyombo hivyo vya usafiri kupigwa minada kwa bei ndogo...
161 wadakwa Kilimanjaro kwa tuhuma mbalimbali Amesema chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa uongozi wa msikiti uliopo katika kata hiyo.
Watoto wawili wa familia moja wafariki katika ajali ya moto Maiga amesema kwa sasa Kamati ya Ulinzi ya wilaya hiyo inaelekea kwenye eneo la tukio.
Anayedaiwa kumuua mkewe kwa kunyimwa unyumba akamatwa Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Kennedy Malekea (21), mkazi wa kijiji cha Msinga wilayani Rombo kwatuhuma za kumuua mkewe Fausta Silayo (22) kwa kumchoma visu vya tumboni na...
Waziri Mkenda amlilia Mramba Mbunge wa jimbo la Rombo ambaye pia ni Waziri wa kilimo nchini Tanzania, Profesa Adolf Mkenda amesema amepokea kwa masikitiko kifo cha aliyekuwa mbunge wa zamani wa jimbo hilo, Basil Mramba...
Ahadi ya Serikali kwa wakulima wa ndizi Serikali ya Tanzania imeweka mikakati ya kukuza kilimo cha ndizi kuwa kilimo cha biashara ili kuongeza uzalishaji pamoja na kukuza soko la kimataifa ili kuongeza pato la Taifa.
Mapadri wapya watakiwa kutokuwa na kigugumizi kutenda mema Askofu wa Jimbo katoliki la Moshi, Askofu Ludovick Minde amewataka mapadri wapya kutokuwa na kigugumizi na wasiwasi wowote katika kutenda yaliyo haki na mema.
Ewura: Gesi haitapanda bei Wakati Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) ikisema bei ya gesi za majumbani haitapanda, mawakala wa usambazaji na uagizaji wa gesi wamesema kuanzia kesho Alhamisi Agosti 12,...
Baba akamatwa akitaka kumuozesha bintiye Mkazi wa kijiji cha Emuguri,kata ya Njoro Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro(jina lake linahifadhiwa) anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani hapa kwa madai ya kutaka kumuozesha binti yake wa miaka...