Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1449 results for Janeth Joseph :

  1. Anna Mghwira kuzikwa Jumatatu Arusha

    Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwake jijini Arusha Jumatatu Julai 26 mwaka huu.

  2. VIDEO: KCMC yazidiwa wagonjwa wanaohitaji Oksijeni

    Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC imezidiwa na idadi ya wagonjwa wanaohitaji hewa ya Oksijeni ukilinganisha na mitungi 400 inayozalishwa kwa siku huku mgonjwa mmoja akitumia...

  3. Wananchi Kilimanjaro wamlilia Mgwhira

    Ni huzuni isiyokuwa na kifani kutokea kwa kifo cha aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira hivyo ndivyo unavyoweza kusema.

  4. Anna Mghwira afariki dunia

    Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amefariki dunia leo Alhamisi Julai 22, 2021 katika Hospitali ya Mount Meru mkoani Arusha alikokuwa akipatiwa matibabu.

  5. Ajali yaua mtu mmoja Kilimanjaro

    Mtu mmoja amefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa katika eneo la Kisangara Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro baada ya dereva wa Hiace kupoteza mwelekeo na kwenda kugonga lori la...

  6. Tozo ya miamala yatesa mawakala

    Wakati wananchi wakilazimika kutafuta njia mpya isiyo na gharama kubwa kutuma na kutoa fedha, mawakala wa huduma za fedha kupitia simu za mkononi wamelalamika kukosa wateja, hivyo kuathirika...

  7. Aweso amsimamsha kazi meneja Ruwasa

    Waziri wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso amemsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Usambazaji wa Maji vijijini (Ruwasa), Mhandisi Nevard Kihaka kwa kumdanganya na kumpa taarifa za uongo juu ya...

  8. Hali tete kwa wananchi kupambana na janga la corona

    Utekelezaji wa mwongozo wa pili wa udhibiti wa maambukizi ya Covid-19 katika taasisi za elimu nchini umeanza kwa kusuasua baada ya shule nyingi kutotekeleza maagizo huku hali ikiwa tete zaidi...

  9. Aweso ahoji gharama kuunganishiwa maji nchi nzima

    Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemuagiza katibu mkuu wa wizara hiyo, Anthony Sanga kuwasiliana na wakurugenzi wote wa mamlaka za maji nchini ili kujua gharama halisi ya kumuunganishia mwananchi...

  10. Watumishi afya matatani kwa tuhuma za wizi wa Sh520 milioni

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai ameagiza vyombo vya usalama mkoani humo kuwachukulia hatua kali watumishi sita wa afya wanaodaiwa kuhusika na wizi wa fedha Sh520 milioni za mfuko wa...

Previous

Page 128 of 145

Next