Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1449 results for Janeth Joseph :

  1. RC Kagaigai apigia debe uwekezaji Kilimanjaro

    Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amezitaka taasisi mbalimbali zikiwemo za dini kuwekeza mkoani humo kwa lengo la kuendeleza sera ya viwanda ili kukuza zaidi uchumi.

  2. Afariki baada ya kukanyagwa na tembo

    Dayness Josephat (58) mkazi wa kata ya Maore Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro amefariki baada ya kukanyagwa na tembo wakati akienda shambani kwake.

  3. RC Kagaigai ataka ushirikiano Kilimanjaro

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amewataka wakuu wa wilaya, watendaji wa halmashauri pamoja na wakuu wa idara kufanya kazi kama timu ili kuleta ufanisi.

  4. Serikali yazungumzia malipo ya wananchi ambao mazao yao yameharibiwa na tembo

    Serikali imesema shughuli ya kulipa fidia wananchi ambao mazao yao yaliharibiwa na tembo nchini inaendelea.

  5. Mwili wa mhasibu wakutwa kichakani

    Mwili wa mhasibu wa Shule ya Sekondari Nronga inayomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Helga Lema umekutwa kichakani.

  6. Bavicha yawasilisha ombi kwa Ndugai kuhusu kina Mdee

    Baraza la Vijana Chadema (Bavicha) limemtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kueleza umma agizo lake la kumtaka katibu mkuu wa chama hicho, John Mnyika kuwasilisha tena taarifa za kufukuzwa uanachama...

  7. Ndugu wazika maiti ya mtu mwingine, yafukuliwa na kuzikwa tena kimya kimya

    Linaweza kuwa tukio la ajabu, lakini ndio limetokea huku usiri mkubwa ukitawala. Ndugu wa familia ya marehemu Danielson Lema (72), aliyekuwa mkazi wa Kijiji cha Nkwansira wilayani Hai...

  8. DC Sabaya aingilia kati maiti kuzuiwa mochwari

    Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ameagiza ndugu kuchukua mwili wa, Bauda Nkya (68) aliyefariki dunia siku saba zilizopita katika hospitali ya KCMC lakini ulizuiwa kutokana na deni la...

  9. Sh3 bilioni zatengwa kwa vyama 70 vya ushirika

    Zaidi ya vyama 70 vya ushirika mkoani Kilimanjaro vimetengewa Sh3.5 bilioni na benki ya ushirika ya KCBL kwa ajili ya ununuzi wa kahawa katika msimu huu wa mwaka 2021/22.

  10. Kisa wivu amuua mwanaye, naye ajinyonga hadi kufa

    Mkazi wa kijiji cha Uria Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Elifuraha Mlay (23) amemuua mwanaye mwenye umri wa miezi tisa na kisha mwenyewe kujinyonga hadi kufa.

Previous

Page 131 of 145

Next