RC Mghwira aagiza mkuu wa kituo cha polisi kuchukuliwa hatua Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira ameagiza mkuu wa kituo cha polisi Holili Wilaya ya Rombo pamoja na askari wawili kuchukuliwa hatua kwa madai ya kuzembea na kuruhusu pikipiki kutoka...
RC Mghwira awaita wadau kununua mahindi yaliyozuiwa Kenya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amewataka wadau mbalimbali kujitokea kununua mahindi yaliyozuiwa kuingia nchini Kenya yakidaiwa kuwa na sumu kuvu jambo ambalo si kweli.
Wananchi waeleza wanavyotumia bodaboda kupeleka mahindi Kenya licha ya nchi ya kenya kupiga marufuku mahindi ya tanzania kuingia nchini humo kwa madai ya kuwa na sumu kuvu, baadhi ya wananchi wanatumia bodaboda kuvusha mahindi hayo kwa kutumia njia za panya.
Meya Moshi awakabidhi wazabuni wanane kwa Takukuru Viongozi wa Vicoba nao wamejikuta wakiangukia mikononi mwa Taasisi ya kupambana na rushwa kwa kushindwa kurejesha fedha walizokopa.
Ifahamu familia ya watoto saba wa Magufuli, wanne wakianza na herufi J Kwa muda mrefu familia ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli haikuwa ikiweka wazi idadi ya watoto na wajukuu alionao marehemu, lakini Jumatatu katika mazishi ya kitaifa yaliyofanyika...
Machifu wamlilia hayati Magufuli Umoja wa Machifu Tanzani (UMT) umesema utamkumbuka akiyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dk John Magufuli, kwa uzalendo, uthubutu na maamuzi yake.
Kauli ya Lowassa akimlilia Magufuli Moyo wangu umeugua baada ya kupata taarifa za kifo cha mpendwa wetu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli kilichotokea Jumatano ya wiki hii, Machi 17
Maaskofu wataka Watanzania kuwa wamoja, washtushwa kifo cha Rais Magufuli Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dk Fredrick Shoo ameeleza kupokea kwa mshtuko kifo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli na kuwataka Watanzania...
Mwanamke akutwa amejinyonga Kilimanjaro Maria Sigarai (26) mkazi wa kijiji cha Kwalakamu wilayani Rombo amekutwa amejinyonga huku mwili wake ukining’inia kwenye mti.
Serikali kujenga kiwanda cha korosho Kilimanjaro Serikali imesema inafikiria kuwa na kiwanda kikubwa cha mfano cha ubanguaji wa korosho katika mkoa wa Kilimanjaro kutokana na zao hilo kuwa na mwitikio mkubwa kwa wananchi.