LHRC yataka midahalo ya wagombea, diaspora na wafungwa kupiga kura
Dar es Salaam. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetaka kufanyika kwa marekebisho ya Sheria ya uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani, 2024 ili kuweka takwa la ulazima wa kufanya...