Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

63 results for Janeth Jovin :

  1. Wakristo wakatoliki wasisitizwa kufunga yale yote yanayowatenganisha na Mungu

    Wakristo Wakatoliki ulimwenguni kote wamesisitizwa kufunga yale yote yanayotenganisha urafiki wao na Mungu.

  2. RC Makalla: Wafanyabiashara waende katika maeneo waliyopangiwa

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewataka wafanyabiashara waliorudi katika maeneo waliyokatazwa kufanya biashara kuondoka mara moja.

  3. Harmonize kufanya tamasha la wamachinga Dar

    Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rajab Abdul maarufu kama Hamornize amesema atafanya tamasha la muziki ambalo litakuwa maalum kwa ajili ya wamachinga wote wa jijini Dar es Salaam.

  4. Vijana washauriwa kutumia mitandao kujikwamua kiuchumi

    Vijana nchini wameshauriwa kuacha tabia ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii na mifumo ya kidijitali badala yake wamehimizwa kuitumia kutafuta fursa mbalimbali za mafunzo na biashara ili...

  5. Wabunifu waitwa NIT kuongeza ujuzi

    Wabunifu nchini wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupata utaalamu katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kwa lengo la kukuza ubunifu wao ili uendane na soko la kimataifa.

  6. Wanafunzi 40 waliopo kituo cha kulelea watoto yatima wapata ufadhili

    Taasisi ya Wanawake Tusonge kwa kushirikiana na Shule ya Msingi Zawadi imekubali kuwapokea na kusomesha bure wanafunzi wa sekondari na waufundi stadi waliopo katika Kituo cha Kulelea watoto...

  7. DC Ubungo aagiza kuondolewa mkuu wa ulinzi NIT

    Mkuu wa Wilaya Ubungo, Kheri James ameagiza kuondolewa kwa Mkuu wa Kitengo cha Ulinzi kutoka Suma JKT katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kutokana na taarifa za unyanyasaji wa wanafunzi...

  8. Wadau wataja vikwazo kuanzisha biashara nchini

    Wadau masuala ya biashara wameeleza kuwa vikwazo vinavyowakwamisha watu kuanzisha biashara ni ucheleshwaji wa usajili wa kampuni na upatikanaji wa vibali kutoka mamlaka zinazohusika na utoaji wa...

  9. Waziri Mkenda asema ufaulu somo la hisabati ni janga linalotakiwa kutafutiwa ufumbuzi

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema ufaulu wa somo la hisabati ni janga ambalo halitakiwi kufumbiwa macho badala yake kutafutiwa ufumbuzi.

  10. NIT kuanza kutoa kozi ya urubani, gharama Sh70 milioni

    Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimesema kipo katika hatua za mwisho kukamilisha mchakato wa kuanza kufundisha kozi ya urubani wa ndege inayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwaka huu na...

Previous

Page 3 of 7

Next