Search

230 results for Mariam Mbwana :

  1. MCL yaongoza wateule tuzo za EJAT 2022

    Jopo la majaji wa Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) limewateua waaandishi 18 kutoka Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kuwania tuzo hizo kati ya wanataaluma 91...

  2. Majaliwa mgeni rasmi swala ya Eid El-Adha

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika swala ya Eid El- Adha ambayo inatarajiwa kuwa Alhamisi Juni 29 mwaka huu.

  3. Wadau watoa mapendekezo Sheria ya kupinga na kuzuia rushwa

    Wakati Serikali ikiwa kwenye mchakato wa kuifanyia maboresho sheria ya kupambana na kuzuia rushwa, wanamtandao wa kupinga na kupambana na rushwa ya ngono nchini wametaka kuondolewa kwa kipengele...

  4. BOT yapigilia msumari matumizi ya fedha za kigeni nchini

    Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imepigilia msumari katazo lake la matumizi ya fedha za kigeni kwa wakazi wa Tanzania katika kulipia bidhaa na huduma nchini.

  5. Wahitimu wahimizwa kuchangamkia fursa sekta ya bima

    Katika kukabiliana na changamoto ya ajira, wahitimu mbalimbali wa fani zinazohusiana na bima wamehamasishwa kujiajiri kwa kuwa mawakala.

  6. Matangazo ya mtandaoni kukatwa kodi

    Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi inatarajia inatarajia kuanzisha mfumo wa kidijitali wa kufuatilia na kuhakikisha kodi husika za Serikali kupitia matangazo yanayowekwa katika mitandao...

  7. LHRC: Mabadiliko ya tabianchi mwiba haki za binadamu

    Afya, chakula, elimu, maji safi na salama, mazingira, faragha na familia zimetajwa kama haki zinazoathiriwa zaidi na mabadiliko ya tabianchi, huku kundi la wanawake na watoto likitajwa kuathirika...

  8. Hilda avunja rekodi ya kupika kwa saa 100 bila kupumzika

    Binti wa miaka 27 ambaye ni moja kati ya wapishi mashuhuri nchini Nigeria, Hilda Bassey maarufu kama Hilda Basi amevunja rekodi ya dunia ya ‘Guinness’ kwa kupika kwa saa 100 bila kupumzika.

  9. TCRA yaja na suluhu utapeli usafirishaji vifurushi

    Ripoti ya robo mwaka unaoishia Machi 2023 ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeonyesha kushuka kwa usafirishaji wa vifurushi na mizigo ndani na nje ya nchi.

  10. Hekta takribani 469,000 ya ardhi huharibiwa kila mwaka

    Hekta takribani 469,000 ya ardhi huharibiwa kila mwaka kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo shughuli za binaadamu zinazopelekea uharibifu wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi.

Previous

Page 3 of 23

Next