Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

30 results for Maryasumta Eusebi :

  1. Kesi ya kina Sabaya yaahirishwa tena

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imeahirisha tena kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne kutokana na upelezi kutokamilika.

  2. Ukataji wa tiketi mtandao wasuasua, wapiga debe wahofia vibarua

    Ikiwa leo ndio siku rasmi ambapo wadau wa usafiri wa masafa marefu walitakiwa kuanza rasmi mfumo wa ukataji wa tiketi kwa njia ya mtandao bado muitikio umekua wa kusuasua huku wapiga debe...

  3. Serikali yaeleza haja ya kufungamanisha mfumo wa Mahakama na Kimila

    Mwakilishi wa Mwanasheria mkuu wa serikali mkoani Kilimanjaro Tamari Mndeme amesema kuna haja ya kufungamanisha mfumo wa kisheria unotumiwa na Mahakama na mfumo wa kimila au kiasili katika...

  4. VIDEO: Meya ataja sababu kuwataka wajumbe kikaoni kuvua barakoa

    Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu amesema aliwataka wajumbe waliokuwa wamevaa barakoa katika kikao cha bajeti cha baraza la madiwani manispaa hiyo kuzivua kwa sababu uvaaji huo huongea...

  5. Meya manispaa ya Moshi awataka waliovaa barakoa kuzivua

    Juma Raibu Juma, meya wa manispaa ya Moshi amewataka wajumbe wa baraza la madiwani la manispaa hiyo kuvua barakoa kwa maelezo kuwa mji wa Moshi upo salama, agizo alilolitoa baada ya kuwasimamisha...

  6. Rushwa ya ngono kuwa kosa la uhujumu uchumi

    Imeelezwa kuwa watakaokamatwa kwa makosa ya rushwa ya ngono kuanzia sasa watafunguliwa shtaka la uhujumu uchumi.

  7. Madereva ‘wafurika’ vituo vya mafuta

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeendesha operesheni ya kuwasaka madereva wanaonunua mafuta na kuacha risiti za EFD, jambo lililosababisha baadhi ya madereva kufurika kwenye vituo vya mafuta...

  8. Joto lawatesa wakazi Moshi

    Hali ya joto mjini hapa imeathiri mfumo wa maisha wa wananchi hasa uvaaji na ufanyaji kazi.

  9. Wadau wamshukia Polepole kwa kauli yake

    Kauli iliyotolewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM katika mtandao wa Twitter juu ya viongozi wa upinzani wanaotaka kuhamia chama hicho tawala kufanya haraka kabla ya Desemba, imeibua maswali...

  10. CCM yabeba kata 19, wapinzani walia mchezo ‘mchafu’

    Wakati CCM ikikusanya kata 19 kwa wagombea wake kupita bila kupingwa katika uchaguzi mdogo wa madiwani, vyama vya upinzani vimeendelea kulia wakidai kuchezewa rafu.

Previous

Page 3 of 3