Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

215 results for Emmanuel Msabaha :

  1. Mkakati kuwawezesha wanawake, wasichana kidigitali waja

    Serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema itahakikisha inaweka mipango thabiti ambayo itawasaidia wanawake, wasichana kujikwamua kiuchumi kwa kutumia fursa...

  2. Tanzania kinara matumizi magari ya umeme

    Wakati matumizi ya nishati safi katika vyombo vya usafiri yakishika kasi duniani, Tanzania licha ya hatua ndogo iliyopiga ndiyo nchi kinara katika ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa na idadi...

  3. Wakazi wa Buza walalamika usalama wa mazingira yao

    Wakazi wa Buza wameulalamikia uongozi wa Mtaa wa amani, kwa kutokuweka mazingira salama, hali ambayo inawafanya kuwa na wasiwasi huenda wakakumbana na magonjwa ya mlipuko.

  4. WCB watakata tuzo za TMA, wakiondoka na tuzo saba

    Lebo ya muziki ya Wasafi (WCB) usiku wa kuamkia Aprili 30, 2023 katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) imeng’ara kwa kupata tuzo saba katika vipengele tofauti ambavyo wasanii...

  5. Kikwete ang’ara tuzo za TMA, apewa tuzo ya heshima

    Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amepewa tuzo ya heshima na Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) usiku wa kuamkia leo Aprili 30, 2023 kutokana na mchango wake katika tasnia ya sanaa.

  6. TCC yapongeza Serikali kuweka mazingira ya biashara

    Mkurugenzi Mtendaji na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Tanzania Cigarette Public Limited TCC Plc, Takashi Araki ameipongeza serikali kwa kuweka mazingira ya kuaminika na rafiki katika biashara ya...

  7. Serikali yatangaza mlipuko wa kipindupindu Ilala

    Wizara ya Afya imetangaza mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu katika halmashauri ya Ilala jijini Dar es Salaam huku watu 10 wakithibitika kuwa na ugonjwa huo.

  8. Vita vya dola kupambana kumaliza utawala wa dola

    Sarafu ya Ulaya (Euro) inashika nafasi ya pili kama sarafu iliyohifadhiwa zaidi katika nchi mbalimbali kwa asilimia 20.47, ya tatu ni Paundi ya Uingereza asilimia 5.51, Yen ya Japan asilimia...

  9. Waislamu wahimizwa kujiepusha na ukabila, udini

    Waumini wa dini ya Kiislamu wameaswa kutenda maadili mema, huku wakihimizwa kuhusu upendo kwa watu bila kujali dini wala makabila yao.

  10. Mfahamu Hiba Abouk mtalaka wa Hakimi

    Hiba Abouk aliyeachana na mumewe Achraf Hakimi, ni mwigizaji wa Uhispania ambaye aliomba talaka baada ya aliyekuwa mumewe kushtakiwa kwa kujaribu kumbaka mwanamke wa miaka 24.

Previous

Page 4 of 22

Next