Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

147 results for Alodia Dominick :

  1. Waililia Serikali kiongozi wa CCM kupigwa risasi

    Wakazi wa Kata ya Ruroto Wilaya ya Muleba mkoani Kagera wameiomba Serikali kutatua mgogoro wa muda mrefu kati ya wafugaji, wakulima na wawekezaji wa ranchi za mifugo inayosababisha madhara kadhaa...

  2. Njaa yamtoa mafichoni mtuhumiwa wa mauaji, akamatwa

    Paschal Kaigwa Mariseli (21) mkazi wa mtaa wa National housing kata ya Rwamishenye Manispaa ya Bukoba anayetuhumiwa kwa mauaji ya Hadija Ismail (29) amekamatwa na jeshi la polisi mkoani Kagera...

  3. Watu wanne wakamatwa Biharamulo kwa tuhuma za ujangili

    Jeshi la Polisi mkoani Kagera linawashikiria watu wanne wanaodhaniwa kuwa ni majangiri kwa tuhuma za wizi wa nyara za Serikali katika Hifadhi ya Taifa ya Ibanda - Kyerwa na bunduki mbili aina ya...

  4. ‘Homework’ za likizo chanzo cha ukatili huu

    Ni ukatili wa kutisha, ndivyo unavyoweza kusema kwa tukio la Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kakanja, Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, Isaya Emmanuel kuwachapa viboko kwenye nyayo wanafunzi wawili...

  5. Polisi yaua majambazi wawili, wakutwa na mabomu

    Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wenye umri kati ya miaka 25 hadi 30 wameuawa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera na kisha kukutwa na bunduki moja aina ya AK 47, risasi 25 na mabomu mawili...

  6. Wenye mahitaji maalum wapata msaada wa mavazi, viatu

    Miongoni mwa wazee waliopata msaada wa mavazi, Bernadol Rwabusisi, ameshukuru kwa msaada huo akisema umekidhi mahitaji yake ya nguo wala viatu.

  7. Mume matatani kwa tuhuma za kumuua mke wake

    Shuhuda wa tukio hilo amesema Desemba 20, 2022, marehemu alikuwa na harusi ya binti yake na siku iliyofuata hakuonekana tena kwenye mazingira ya nyumba yake, ndipo walianza kumtafuta bila...

    New Content Item (1)
  8. Kagera yaandikisha wanafunzi 60,743 wa darasa la kwanza

    Ofisa elimu mkoa wa Kagera, Khalifa Shemahonge amesema malengo ya uandikishaji kwa darasa la kwanza yalikuwa ni wanafunzi 86,348, wavulana wakiwa 42,645 na wasichana 43,703. Hadi Desemba 20, 2022...

  9. Askofu Rweyongeza: Ishi maisha yako, usishindane naya mwenzako

    Askofu wa Jimbo Katoliki la Kayanga, Almachius Rweyongeza amesema Watanzania waache kushindana na wenzao kwani kufanya hivyo watazalisha wivu hasi ambao hauleti maendeleo.

  10. Kichanga aliyepotea siku saba apatikana akiwa hai Dodoma

    Mtoto wa mwezi mmoja, Benitha Beneti ambaye alikuwa ameibwa nyumbani kwao Mtaa wa Migera, Kata ya Nshambya Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera amepatikana akiwa hai mjini Dodoma baada ya kupotea...

Previous

Page 5 of 15

Next