Asilimia 83 majeruhi ajali barabarani hupoteza nguvu kufanya kazi
Hospitali ya Taifa Muhimbili Kitengo cha dharura kimesema asilimia 83 ya majeruhi wa ajali za barabarani wanaopokelewa katika kitengo hicho, upona lakini upoteza nguvu ya kufanya kazi na kuzalisha.