Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

63 results for Janeth Jovin :

  1. Visima 44 vyagunduliwa kuwa na gesi asilia Tanzania

    Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru wa Tanzania imechimba visima 96 vya utafutaji wa mafuta ambapo 44 vina gesi asilia

  2. Wakulima wa mwani waiangukia Serikali, waiomba kupandisha bei

    Wakulima wa zao la mwani wa Mkoa wa Lindi na Mtwara wameiomba Serikali kuwasaidia katika kupandisha bei zao hilo ili waweze kujiongezea vipato.

    New Content Item (1)
  3. Wamachinga Dar wadaiwa kuvamia eneo la kanisa

    Wamachinga jijini Dar es Salaam waliohamishwa eneo la Mbuyuni kata ya Wazo Wilaya ya Kinondoni wanadaiwa kuvamia eneo la kanisa la Orthodox na kuanza kufanya biashara jambo lililolalamikiwa na...

  4. Balozi Tsere amshauri Samia kukutana na wanaodai Katiba Mpya nchini

    Balozi mstaafu, Patrick Tsere amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kukutana na kufanya mazungumzo na wadau wanaotaka Katiba mpya ili kupata mwafaka wa kitaifa.

  5. Wanajeshi wachangamkia chanjo ya Uviko -19

    Mkuu wa Hospitali Kuu ya Kijeshi Lugalo, Brigedia Jenerali Fredi Kivamba amesema kumekuwa na mwitikio mkubwa wa wafanyakazi kada ya jeshi kujitokeza kupata chanjo ya Uviko-19.

  6. TBS yazungumzia muda wa matumizi ya matairi

    Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limepiga marufuku matumizi ya matairi ya magari, pikipiki na baiskeli yanayotumika zaidi ya miaka nane tangu yalipotengenezwa.

  7. Asilimia 83 majeruhi ajali barabarani hupoteza nguvu kufanya kazi

    Hospitali ya Taifa Muhimbili Kitengo cha dharura kimesema asilimia 83 ya majeruhi wa ajali za barabarani wanaopokelewa katika kitengo hicho, upona lakini upoteza nguvu ya kufanya kazi na kuzalisha.

  8. WaterAid yakabidhi vituo 12 vya kunawa mikono Dar

    Katika jitihada za kuunga mkono juhudi za Serikali kusaidia watanzania kunawa mikono ili kupambana na maambukizi ya Uviko 19, Shirika lisilo la Kiserikali la WaterAid limekabidhi vituo 12 vya...

  9. Tawla yataka maboresho ya Sheria ya Usalama barabarani

    Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (Tawla) kimesema kuna haja ya kufanyika kwa maboresho ya Sheria ya Usalama Barabarani, ili kuepusha majanga ya ajali yanayo yanayogharimu maisha ya watu...

  10. Shaka ataka sanaa kutumika kama silaha ya ukombozi wa matatizo ya kijamii

    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka ametaka sanaa kutumika kama silaha ya ukombozi wa matatizo ya kijamii na kamwe isiwe chanzo cha mfarakano na vurugu.

Previous

Page 5 of 7

Next