Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

155 results for Mary Clemence :

  1. Mwenge wa Uhuru wamtaka RC Katavi kurejesha Sh163 milioni

    Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Sahili Nyanzabara amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Katavi (RC), Mwanamvua Mrindoko kurejesha Sh163.9 milioni za maendeleo ya mfuko wa vijana wanazodaiwa.

  2. DC awataka wasafirishaji kuacha kutumia njia za panya

    Wafanyabiashara na wamiliki vyombo vya usafiri vya majini watakaotumia Bandari ya Karema wasikwepe kulipa ushuru na kodi.

  3. RC Katavi atoa onyo ucheleweshaji ujenzi bwawa la maji Mlele

    Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko ametoa onyo kwa mkandarasi Hematake Investment kuacha kutoa visingizio visivyokuwa na msingi vya kuchelewesha mradi wa bwawa la maji Senkwa wilayani Mlele.

  4. Mtuhumiwa wizi wa kishkwambi Mpimbwe kuburuzwa kortini kesho

    Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amesema mtuhumiwa anayeshikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kupora kishikwambi kwa karani wa sensa katika kata ya Majimoto halmashauri ya Mpimbwe...

  5. Ofisa Mipango Miji Mpimbwe adaiwa kubaka mtoto

    Imedaiwa kuwa ofisa huyo alipewa watoto na mama yao awafikishe nyumbani kwa gari lake, lakini alipokuwa njiani aliegesha pembeni na kufanya unyama huo.

  6. Katavi wafanya sensa kwa amani

    Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amesema sensa imefanyika kwa amani na utulivu na kuwataka wananchi ambao hawajafikiwa kuwa wavumilifu.

  7. Makarani Arusha, Katavi waporwa vishikwambi

    Makarani wawili wa mikoa ya Arusha na Katavi wameporwa vifaa vyao vya kukusanyia takwimu maarufu kama vishikwambi, huku Polisi wakifanikiwa kumpata mtuhumiwa mmoja.

  8. Tamu, chungu maisha ya mzee mwenye wake 22 na watoto 110

    Inafikirisha namna baadhi ya wanawake wanavyopata wivu pindi waume zao wanapotaka kuongeza mke, lakini si kwa Luhanga Dalushi (72), mfugaji wa mkoani Katavi aliyeoa wake 22.

  9. RC Katavi aonya upotoshaji sensa ya watu na makazi

    RC Mwanamvua amewataka wananchi kuwataja watu watakaowabaini wanaopotosha sensa ili wachukuliwe hatua

  10. Aliyekuwa diwani Chadema, wenzake waachiwa huru

    Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga imemuachia huru aliyekuwa Diwani wa Isengule wilayani Tanganyika (Chadema), Oscar George na wenzake watano, baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuwasilisha...

Previous

Page 5 of 16

Next