Maandalizi Sabasaba yafikia asilimia 85, maguta, malori marufuku uwanjani. Akizungumza baada ya kumaliza kufanya ukaguzi, Mapunda amesema maonyesho hayo yana hadhi ya kimataifa hivyo haipendezi malori kupaki katika maeneo ya uwanja huo wa Julius Nyerere na kusababisba...
Profesa Kitila: Kupungua misaada ituamshe Afrika kujitegemea kiuchumi Profesa Mkumbo ametoa kauli hiyo jana, Juni 22, 2025 katika Jukwaa la Fikra lililoandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa kushirikiana na Wizara ya Ujenzi, likijadili...
Tanzania kuanza kuunganisha magari ya umeme na gesi Uunganishaji wa magari haya sasa utafanya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kupata urahisi wa kununua magari tofauti na sasa wanapolazimika kuagiza kutoka bara lingine.
Samia aonya ramli chonganishi kuelekea Uchaguzi Mkuu Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa kimila, hususani waganga wa kienyeji kujiepusha na ramli chonganishi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025 ili zisilete uvunjivu wa amani.
Tanzania mwenyeji mkutano wa mabaraza ya vyombo vya habari Afrika Wakati jitihada mbalimbali za kuimarisha uhuru wa vyombo vya habari nchini zikiendelea kufanyika, Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa mabaraza ya habari Afrika.
Mchakato kuwarudisha Watanzania waliopo Israel, Iran waanza Serikali imeanza kuchukua hatua za haraka na za kiutendaji ili kuhakikisha Watanzania waliopo nchini Iran na Israel wanarejeshwa salama nchini.
Makao makuu nchi wanachama ushoroba wa kati kujengwa Tanzania Hilo limefanyika wakati ambao Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zimebadilisha hati za ardhi ambao kila nchi itakwenda kujenga bandari kavu kwa mwenzake kwa ajili ya kuhifadhi...
Fedha za kuagiza mafuta nje ya nchi zapungua, sababu yatajwa Kati ya mwaka 2022 na 2024 fedha zilizotumika kuagiza mafuta nje ya nchi zimepungua kutoka Sh9.57 trilioni hadi Sh7.62 trilioni mtawaliwa, bei katika soko la dunia na matumizi ya gesi asilia nchi...
PRIME Sabasaba mpya ya saa 24 kujengwa kwa ubia Utekelezaji wake unalenga kuifanya Sabasaba kuwa kitovu cha kisasa kinachovutia wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi.
Sababu bima ya vyombo vya moto kuongoza, afya bado Sekta ya bima nchini inaendelea kushuhudia ukuaji mwaka hadi mwaka, huku bima ya vyombo vya moto ikiongoza kwa kuingiza mapato makubwa, ikifuatiwa na ya maisha, wakati ya afya ikishika nafasi ya...