Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1058 results for Aurea Simtowe :

  1. Profesa Mkumbo: Tiseza italeta ufanisi zaidi

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema kuanzishwa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi (Tiseza) kunalenga kuwaondolea wawekezaji usumbufu.

  2. Tira yabeba ajenda ya bima ya afya kwa wote

    Wakati kampuni 40 chini ya usimamizi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (Tira) zikishiriki Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) mkazo mkubwa umewekwa kuhamasisha...

  3. Ridhiwani: Msajili wa Hazina ameokoa mashirika ya umma

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete amesema Ofisi ya Msajili wa Hazina imewezesha kuimarika kifedha kwa mashirika ya umma...

  4. Bajaji za umeme Sabasaba zilivyorahisisha usafiri

    Pikipiki za umeme za magurudumu matatu (bajaji) zilizoanza kutumika kwa mara ya kwanza katika Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), zimerahisisha usafiri kwa wageni na...

  5. Korea kusaidia utekelezaji Dira 2050

    Balozi wa Korea Kusini nchini Tanzania, Eunju Ahn amesema nchi yake iko tayari kushirikiana na Tanzania katika utekelezaji wa maeneo makuu yaliyopewa kipaumbele kwenye Dira ya Maendeleo 2050.

  6. TIA kuwaombea wanafunzi wake mikopo asilimia 10

    Hiyo ni baada ya chuo hicho kuwa tayari kubeba dhamana ya wanafunzi watakaokuwa wanakopa, kikilenga kuwawezesha kiuchumi na kuziba pengo kati ya mafunzo ya kitaaluma na mahitaji halisi ya soko la...

  7. Vituo vya CNG kufikia 12 mwishoni mwa 2025

    Amesema maendeleo hayo yanatarajiwa kupunguza kwa kiasi kikubwa msongamano katika vituo vya mafuta, sambamba na kuharakisha matumizi ya gesi hiyo nchini kote.

  8. Mfumo wa kufuatilia wajawazito wenye uchungu

    Mfumo huu, unaotumia akili bandia (AI), unalenga kuboresha huduma za afya vijijini na maeneo yenye ufinyu wa rasilimali. Tayari umefanyiwa majaribio Hospitali ya Taifa Muhimbili.

  9. Kijana abuni mashine ya kumwagilia dawa shambani

    Mabilika ambaye hajasomea ubunifu huo, amesema hayo leo Julai 2, 2025 alipozungumza na Mwananchi katika Maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ua Dar es Salaam (DITF) maarufu Sabasaba...

  10. Wateja benki zilizofungwa walipwa Sh9.07 bilioni

    Kihwili amesema kiwango hicho cha malipo kimegusa wastani wa asilimia 75.76 ya jumla ya fidia zote zinazostahili kulipwa.

Page 1 of 106

Next