Profesa Mkumbo: Tiseza italeta ufanisi zaidi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema kuanzishwa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi (Tiseza) kunalenga kuwaondolea wawekezaji usumbufu.
Tira yabeba ajenda ya bima ya afya kwa wote Wakati kampuni 40 chini ya usimamizi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (Tira) zikishiriki Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) mkazo mkubwa umewekwa kuhamasisha...
Ridhiwani: Msajili wa Hazina ameokoa mashirika ya umma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete amesema Ofisi ya Msajili wa Hazina imewezesha kuimarika kifedha kwa mashirika ya umma...
Bajaji za umeme Sabasaba zilivyorahisisha usafiri Pikipiki za umeme za magurudumu matatu (bajaji) zilizoanza kutumika kwa mara ya kwanza katika Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), zimerahisisha usafiri kwa wageni na...
Korea kusaidia utekelezaji Dira 2050 Balozi wa Korea Kusini nchini Tanzania, Eunju Ahn amesema nchi yake iko tayari kushirikiana na Tanzania katika utekelezaji wa maeneo makuu yaliyopewa kipaumbele kwenye Dira ya Maendeleo 2050.
TIA kuwaombea wanafunzi wake mikopo asilimia 10 Hiyo ni baada ya chuo hicho kuwa tayari kubeba dhamana ya wanafunzi watakaokuwa wanakopa, kikilenga kuwawezesha kiuchumi na kuziba pengo kati ya mafunzo ya kitaaluma na mahitaji halisi ya soko la...
Vituo vya CNG kufikia 12 mwishoni mwa 2025 Amesema maendeleo hayo yanatarajiwa kupunguza kwa kiasi kikubwa msongamano katika vituo vya mafuta, sambamba na kuharakisha matumizi ya gesi hiyo nchini kote.
Mfumo wa kufuatilia wajawazito wenye uchungu Mfumo huu, unaotumia akili bandia (AI), unalenga kuboresha huduma za afya vijijini na maeneo yenye ufinyu wa rasilimali. Tayari umefanyiwa majaribio Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Kijana abuni mashine ya kumwagilia dawa shambani Mabilika ambaye hajasomea ubunifu huo, amesema hayo leo Julai 2, 2025 alipozungumza na Mwananchi katika Maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ua Dar es Salaam (DITF) maarufu Sabasaba...
Wateja benki zilizofungwa walipwa Sh9.07 bilioni Kihwili amesema kiwango hicho cha malipo kimegusa wastani wa asilimia 75.76 ya jumla ya fidia zote zinazostahili kulipwa.