Search

67 results for Angetile Osiah :

  1. PRIME SIO ZENGWE: Motsepe ajisafishe na bao la Aziz Ki

    NI ajabu kwamba baadhi ya wachambuzi wameibuka na kudai kuwa mfumo wa Refa Msaidizi wa Video (V.A.R) ulionyesha mpira uliopigwa na Stephane Aziz Ki katika dakika ya 59 haukuvuka mstari wa lango...

  2. Maoni yatawala gharama Uwanja wa Samia

    Wakati mkataba wa Sh286 bilioni ukisainiwa juzi baina ya Serikali na kampuni ya China Railway Construction Engineering Group (CRCEG) kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa soka wa Samia Suluhu jijini...

  3. PRIME Haitakuwa huru kama haina uhuru

    2007 wadau wa soka walikutana Bagamoyo katika mipango ya kuhakikisha soka letu linaendeshwa katika mfumo wa kisasa ili liweze kupiga hatua.

  4. Kiini cha matatizo ‘Kwa Mkapa’

    Haikuwa siku nzuri kwa mashabiki wa mchezo wa soka nchini na hata nje ya nchi, walioshuhudia kwa mara nyingine, umeme ukikatika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini hapa.

  5. SIO ZENGWE: Mameneja wa Fei Toto hawastahili malipo

    NI kitu kibaya sana kwangu kuzungumzia sakata moja kwa wiki mbili mfululizo, lakini nimelazimika kufanya hivyo kutokana na umuhimu wake.

  6. Yanga vs Simba; hii huwezi kuikuta sehemu nyingine

    MWAKA 2012, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Soka Kusini mwa Jangwa la Sahara, Ashford Mamelodi aliniomba nimuandikie habari nzuri kuhusu mechi ya watani wa jadi Simba na Yanga, baada ya kushuhudia...

  7. Yanga iige Simba kwa lipi?

    ULIPOWASHA televisheni ukaona haiunganishi na king’amuzi, kitu cha kwanza kufanya ni kwenda kuangalia kama waya unaotoka kwenye king’amuzi umeunganishwa vizuri na runinga. Ukikuta umeunganishwa...

  8. SIO ZENGWE: Mgunda na ile 'kiwango chake kimeishia hapo'

    MWAKA 1998, Tito Mwaluvanda aliiongoza Yanga kuichapa Coffee ya Ethiopia mabao 6-1 na hivyo vigogo hao wa Tanzania kuwa moja ya timu nane zilizofuzu kucheza robo fainali ya Ligi ya Mabingwa wa...

  9. Miaka 20 panyarodi bado ni walewale

    Ni jioni yapata saa 1:00 jioni, wakazi wa Tabata wanakimbia huku na huko kwa hofu ya kushambuliwa na kuporwa na vijana wadogo wanaosemekana wana visu na mapanga.

  10. Yanga yalipa CAF Kisinda acheze

    na kumuingiza mwingine na tulifanya hilo kwa kuzingatia muda wa usajili.” KAULI YA TFF Taarifa iliyotolewa na TFF jana, japokuwa haikutaja timu yoyote, iliandikwa hivi: “kwa mujibu wa kanuni 62...

Page 1 of 7

Next