VIDEO: Mtihani mama adai kutakiwa kuwakamata wanaodaiwa kumlawiti mtoto wake
Katika hali isiyo ya kawaida, mkazi wa Mtaa wa Buguku Kata ya Mkolani jijini Mwanza, (jina linahifadhiwa) amelalamikia kutakiwa kuwakamata watuhumiwa wanne wanaodaiwa kumlawiti mtoto wake wa...