Search

237 results for Mainda Mhando :

  1. Serikali kutumia gesi asilia kupunguza uhaba wa umeme

    Dodoma. Serikali imeeleza kuwa itaendelea kuboresha mifumo ya matumizi ya gesi asilia kwenye uzalishaji wa umeme nchini badala ya kutegemea chanzo cha maji pekee. Hata hivyo, chanzo cha nishati...

  2. Biteko: Hali ngumu yakwamisha utumiaji wa nishati safi

    Serikali imekiri kuwa bado kuna changamoto ya upatikanaji wa nishati endelevu nchini licha ya kuwa asilimia 72 ya kaya za Tanzania Bara zinaishi katika mitaa au vijiji vilivyofikiwa na huduma za...

  3. Makondo ya nyuma ya uzazi sasa kuzalisha gesi ya kupikia

    Changamoto ya harufu mbaya iliyokuwa kero kwa wakazi wa maeneo jirani na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, imepata suluhisho baada ya hospitali hiyo kuanza kutumia kondo la nyuma kuzalisha...

  4. Mhagama: Kampuni 500 za vijana zipo wapi? zinafanya nini?

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama amehoji zilipo Kampuni mpya zaidi ya 500 za vijana zilizosajiliwa nchini na kuagiza zifuatiliwe kujua hatma zake.

  5. Mtaala mpya kuwanoa wauguzi mbioni

    Dodoma. Ili kukabiliana na malalamiko ya wananchi kuhusu huduma mbovu zinazotolewa na baadhi ya wauguzi, Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Chuo kikuu cha Hawze na Umoja wa Ulaya (AU) imedhamiria...

  6. Walioachishwa shule waeleza mazito waliyopitia

    Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine kuadhimisha siku ya mtoto wa kike Duniani, waliocha shule kwa sababu ya ujauzito wameeleza mazito waliyopitia kabla na baada ya kurudi shuleni.

  7. Mambo matatu yatajwa sababu za kuongezeka watalii

    Aidha watalii walioingia nchini katika kipindi cha Agosti pekee wameongezeka kufikia 186,030 ikilinganishwa na watalii 158,049 walioingia nchini mwezi Agosti, 2022.

  8. Kitanzi cha wezi wa dawa na watumishi wazembe hiki hapa

    Matumizi ya teknolojia ya kidijitali katika sekta ya afya ni muhimu kwa lengo la kuimarisha utoaji wa huduma za afya.

  9. Naibu Waziri Mkuu aipa tano Sweden

    Katika kile kinachooneka ni uhusiano mzuri wa kidiplomasia baina ya Sweden na Tanzania, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk Doto Biteko amepongeza nchi hiyo kwa kutoa jumla ya Sh194 bilioni...

  10. PRIME Mahitaji makubwa ya maziwa fursa iliyo wazi nchini

    Kila mwaka Tanzania hutumia Sh20 bilioni kwa ajili ya kuagiza lita za maziwa 20 milioni ili kukabiliana na upungufu wa maziwa nchini.

Previous

Page 2 of 24

Next