Mhagama: Kampuni 500 za vijana zipo wapi? zinafanya nini?
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama amehoji zilipo Kampuni mpya zaidi ya 500 za vijana zilizosajiliwa nchini na kuagiza zifuatiliwe kujua hatma zake.