RC Manyara aongoza upandaji miti 133,000 Ziwa Bassotu Kampeni ya siku saba ya upandaji miti ziwa Bassotu Wilayani Hanang' Mkoani Manyara imelenga kutunza mazingira ili kunusuru kina chake kupungua kutokana na kukaa matope
Hai kufanya maombi siku saba kushukuru Mbowe kuachiwa huru Mchungaji kiongozi Usharika wa Nshara Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kikutheri Tanzania (KKKT), Rodrick Mlay ametangaza maombi ya siku saba kwa ajili ya kumshukuru Mungu kuwezesha...
Mbowe asema Chedema ikishika madaraka, hakutakuwa na ubaguzi wa elimu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amesema chama hicho kikishika dola kitabadilisha mfumo wa elimu nchni na kuhakikisha Lugha ya Kiingereza inakuwa lugha ya kufundishia kuanzia madarasa...
Mbowe ashukuru polisi kuimarisha ulinzi mapokezi yake Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amelishukuru Jeshi la polisi Mkoa wa Kilimanjaro kwa namna walivyoimarisha ulinzi wakati wa mapokezi yake wilaya ya Hai na kueleza “Hii ndio Tanzania...
Samia atoa ahadi ya ujasiri kumuenzi hayati Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza ahadi yake ya kutekeleza miradi yote ya maendeleo iliyoasisiwa na Hayati John Magufuli ili kuenzi juhudi za mtangulizi wake huyo.
Wakazi wa Hai wafurika kumpokea Mbowe Maelfu ya wananchi wa Kilimanjaro na viunga vyake wamejitokeza kwa wingi katika uwanja wa ndege wa Kimataifa Kilimanjaro (KIA) kumpokea mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.
Watanzania watakiwa kuyaenzi aliyofanya Magufuli Watanzania wametakiwa kuendelea kuyaenzi mema aliyoyafanya Rais wa awamu ya tano, hayati John Magufuli wakati wa uhai wake.
Waandishi wa habari watakiwa kulainisha tafiti Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania (COSTECH) imewataka waandishi wa habari kuandika habari za sayansi kwa kutumia lugha rahisi katika matokeo ya tafiti zinazofanywa na...
Mbunge awataka wananchi kulima kilimo cha umwagiliaji Mbunge wa Hai, Saashisha Mafuwe amewataka wananchi wa Wilaya hiyo kulima kilimo cha umwagiliaji ambacho ni cha uhakika ambapo Serikali imetoa Sh500 milioni kwa ajili ya kilimo hicho.
Abakwa kisha kuuawa kisa wivu wa mapenzi Mwanaisha Shwaibu(21) mkazi wa kijiji cha Kiruru, Wilaya ya Mwanga, Mkoani Kilimanjaro amebakwa kisha kuawa kwa kukatwa katwa na panga shingoni na mwili wake kutelekezwa kichakani kwa madai kuwa...