Ahadi ya Serikali kwa wakulima wa miwa Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Profesa Adolf Mkenda amesema Serikali imejipanga kuhakikisha wakulima wa miwa wanapata masoko ya uhakika.
Polisi waendesha msako tukio la mama na mwanaye kufia gesti Irene Lyimo(21) mkazi wa kata ya Kilema Kaskazini Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro na mwanaye wa mwaka mmoja wamekutwa wamekufa katika nyumba ya kulala wageni.
Meya Moshi aamuru kuvunjwa ukuta ofisi za basi la Kilimanjaro Express Meya wa Manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameagiza kuvunjwa kwa uzio unaozunguka jengo la ofisi za kampuni ya usafirishaji ya mabasi ya Kilimanjaro Express uliojengwa kinyume na sheria za mipango miji.
Kundi jingine la nzige laingia Tanzania Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Profesa Adolf Mkenda amesema wakati serikali ikipambana kuwaangamiza nzige wa jangwani walioingia nchini Februari mwaka huu limeingia kundi jingine jipya...
Waziri Mkenda aeleza nzige wanavyodhibitiwa Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Profesa Adolf Mkenda amesema nzige wa jangwani walioingia wilayani Siha mkoani Kilimanjaro wakitokea Longido wamedhibitiwa.
DC Sabaya aagiza aliyeuza eneo kwa wananchi asakwe Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ameliagiza Jeshi la polisi kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani humo kumsaka aliyekuwa mtendaji wa mtaa wa Jiweni...
Aliyejifungua pacha watatu aomba msaada Monica Maleo (37) mkazi wa kijiji cha Mbahe aliyejifungua pacha watatu ameiomba Serikali na watu wa kada mbalimbali kumsaidia kwa kuwa hana uwezo wa kuwalea watoto hao kutokana na ugumu wa maisha.
Jinsi nzige wanavyomtesa waziri, naibu wake Waziri wa Kilimo, Profesa Adolf Mkenda na naibu wake, Hussein Bashe wamewasili wilayani Siha Mkoa wa Kilimanjaro kusimamia shughuli ya kuwadhibiti nzige walioingia jana wilayani humo.
RC Mghwira awatuhumu baadhi ya polisi wilayani Rombo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amewashukia baadhi ya askari polisi wilayani Rombo kwa madai ya kujihusisha na kumiliki mitambo ya kutengeneza gongo.
Maombi kupambana na corona yaanza Moshi Waumini wa Jimbo Katoliki la Moshi leo Februari 22, 2021 wameanza maombi maalumu ya saa 48 mfululizo kwa ajili ya kumwomba Mungu alinusuru Taifa na ulimwengu kwa ujumla na janga la corona.