Wanapiga soka na kusoma vitabu Hawakukosea waliosema usihukumu kitabu kwa kuangalia pambo lake la nje, kabla ya kujua kilichopo ndani, ndivyo yalivyo maisha ya wanasoka wengi, nje ya uwanja wana maisha mengine tena mazuri sana.
Kakakuona hatarini kutoweka, jitihada za makusudi zahitajika Mataifa mbalimbali yameshuhudia kukamatwa kwa kakakuona akisafirishwa kwa njia haramu au viungo vyake
Ijue historia siku ya Valentine, vijana wafunguka wanavyoadhimisha Mtakatifu Valentino aliuawa Februari 14, ndiyo maana ikatangazwa rasmi kuadhimishwa kwa ajili ya kumkumbuka kama baba wa upendo na mtetezi wa wanandoa.
Zitto azungumzia uhusiano wa ACT Wazalendo na Lowassa Amesema uamuzi Lowassa wa kutoka CCM kwenda upinzani ulikuwa wa kukomaza demokrasia, ingawa baadaye iliporomoka.
Fursa ziara ya Rais wa Poland nchini Uhusiano baina ya Tanzania na Poland ulianza mwaka 1962, Taifa hilo la Ulaya limekuwa likisaidia miradi mbalimbali ya maendeleo
PRIME Zitto: 4R zitakuwa kitanzi kwa Rais Samia Amesisitiza kuwa jambo muhimu ni kwamba R nne zijengewe misingi ya kisheria, isiwe ni falsafa inayotokana na imani ya Rais aliyepo. Amesema misingi hiyo ya kisheria itajengwa kwa kuwa na Katiba...
Rais Samia, viongozi wa Afrika wamlilia Geingob Geingob amefariki dunia mapema leo Jumapili, Februari 4, 2024 katika Hospitali ya Lady Pohamba iliyopo mji mkuu wa Windhoek alikokuwa akipatiwa matibabu
PRIME Wametekwa au wamepotea? Kufuatia matukio ya watu kutoweka na wengine kutekwa nchini, baadhi ya wadau wameitaka Serikali kuwajibika.
ACT Wazalendo: Bunge lifanyie kazi maoni ya wadau “Bunge linapaswa kufanyia kazi maoni ya wadau na kuhakikisha yale masuala ambayo hayajapata mwafaka wa kitaifa na yanakubalika na wadau wengi yanajumuishwa kwenye miswada yote mitatu," amesema...
Japan, UNFPA kushirikiana kuzuia vifo vya uzazi kambi za wakimbizi Balozi wa Japan nchini Tanzania, Yasushi Misawa amesema Japan imejitolea kuboresha afya za watu duniani kote