Wawili wakamatwa kwa tuhuma za mauaji, dawa za kulevya Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limewakamata watu wawili kwa tuhuma za usafirishaji wa dawa za kulevya na mauaji.
Frida aweka historia kwenye Kongamano la Kimataifa la Vijana na Hip-hop Rapa na mtangazaji, Frida Amani ameweka historia ya kuwa msanii wa kwanza kushiriki katika mkutano maarufu wa kimataifa wa NEXT, ulioandaliwa na kituo cha utangazaji cha Uturuki, ‘Turkey Radio na...
Chanzo Msamiati kutumia lugha ya Kinyakyusa kwenye nyimbo zake Wasanii wengi wanaotamani kuvuka mipaka na kufanikiwa kimataifa, hufanya jitihada mbalimbali ikiwemo kuiga ladha na lugha za mataifa mengine ili kuyafikia mafanikio hayo.
Studio za nyumbani zinavyoongeza ubunifu Muziki wa Bongo Fleva unaendelea kukua kwa kuonesha mabadiliko makubwa na ongezeko la studio za kurekodi nyimbo za majumbani zinazoendelea kutengenezwa na baadhi ya wasanii.
ACT Wazalendo yaanza mchakato kumpata mrithi wa Zitto Mpaka sasa viongozi kadhaa wanatajwa kutaka kurithi nafasi hiyo, baadhi yao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo – Tanzania Bara, Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti – Zanzibar, Othman...
Wapishi wa ngoma walioupiga mwingi 2023 Katika upande wa michezo, Kimambo alitubariki na ‘Mnyama’ nyimbo ya Simba SC ambayo imeimbwa na Alikiba. Hata hapo awali, pia alitupatia hit kwa ajili ya mashabiki wa Yanga, ‘Yanga Anthem’ ngoma...
Sho Madjozi: Rudisheni ladha ya Bongofleva halisi katika midundo mipya “Hata kabla ya Amapiano kuingia watu walianza kuchukua midundo, melodi na staili za Nigeria, mpaka ikafikia hatua unashindwa kujua kama ni nyimbo ya Kibongo kwa sababu mpaka matamshi wanaiga.
Serikali kufutia leseni vyuo 124 vya udereva Jeshi la Polisi kitengo cha Usalama Barabarani kimevifungia vyuo vya mafunzo ya udereva 124 kutokana na kukosa sifa ya kutoa taaluma hiyo.
Majiha awatoa kwenye reli Kiduku, Mwakinyo Ni Fadhil Majiha! Huyu ndiye 'mwamba' wa masumbwi kwa sasa nchini akiwatoa kwenye reli nyota wote, akiwamo Twaha 'Kiduku' Kassim na Hassan Mwakinyo.
Aiba mtoto wa bosi wake, adaiwa kumlawiti kwa miezi mitano Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Lebahati (35-37) anatuhumiwa kumtorosha mtoto wa kiume wa bosi wake na kwenda kuishi naye kinyumba kwa miezi mitano mfululizo huku akimlawiti.