Wavuvi ‘watema nyongo’ ziwa kufungwa, wagusia uvuvi haramu
Ziwa Tanganyika lina ukubwa wa kilometa za mraba 32,900 huku Tanzania ikimiliki kilometa za mraba 13, 489, sawa na asilimia 41 ya ziwa lote.
Takwimu za Wizara ya Mifugo na Uvuvi zinaonyesha...