RC Kunenge ataka mahakimu wabanwe "Unakuta hakimu anahukumu kesi 100 na zinapokatiwa rufaa kwenye mahakama ya juu kesi 72 kati ya hizo hukumu zinabatilishwa, na hakimu huyo bado anabaki kuendelea na kazi hilo linapaswa...
Madiwani Kibaha wataka mamlaka huduma za maji Kibaha. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, Mussa Ndomba ameiomba Serikali kuipatia halmashauri hiyo mamlaka ya usimamizi wa huduma za maji na usafi wa mazingira, ili kuwa...
Wafanyabiashara Kibaha wataka kuboreshewa soko Katibu wa soko hilo, Dotto Evarist ameongeza kuwa ni vema mamlaka itakapoamua kutenga eneo litakalojengwa soko lisiwe mbali na makazi ya watu, ili wateja wawafikie kwa urahisi.
Waliohama Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Msomera wafikia 3,822 Serikali imeanza kuwanoa bongo mawakili wake kwa kuwajengea uwezo wa kuzikabili kesi zitakazojitokeza baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Serikali yaanza kuwapika mawakili kuelekea uchaguzi mkuu Serikali ya Tanzania imeanza kuwajengea uwezo mawakili wake ili kuzikabili kesi zitakazojitokeza baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024 na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Sita mbaroni Bagamoyo kwa amri ya DC Waliokamatwa na Jeshi la Polisi kwa amri ya mkuu huyo wa wilaya wanadaiwa kujihusisha na vitendo vya uchochezi na kuzalisha migogoro ya ardhi
Muuza maziwa jela maisha kwa ubakaji Mke wa mtuhumiwa na mtoto walikuwapo kortini, mke alianza kububujikwa na machozi baada ya kutolewa kwa hukumu hiyo.
Mahudhurio, madarasa, vifaa, walimu tatizo shule zikifunguliwa leo Upungufu wa madarasa, vifaa na walimu vimetajwa kuwa changamoto waliyoikuta wanafunzi wakati shule za msingi na sekondari zikifunguliwa kote nchini.
Mchungaji: Vijana msichague kazi umri unakwenda Tabia ya kuchagua kazi za kufanya ili kujipatia kipato iliyojengeka miongoni mwa vijana nchini, imeelezwa kuwa sababu inayochangia asilimia kubwa ya kundi hilo kuendelea kuwa tegemezi, huku umri...
Vijana 1,000 kupewa elimu ya afya, ujasiriamali Ninachopenda kusema kwa wale wanaotaka kuanzisha makanisa wafuate kanuni na wawe wakweli. Unakuta mtu anataka kusajili kanisa lakini ndani yake kuna viashiria vya tabia zisizofaa kwenye jamii au...