Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

179 results for Suzy Butondo :

  1. Vijiji jirani Barrick Bulyanhulu vyanufaika miradi kufuga nyuki

    Wakazi wa Kijiji cha Buyange Halmashauri ya Msalala mkoani Mwanza wameanza kunufaika kupitia miradi ya kichumi ikiwemo ufugaji wa nyuki baada ya kupata mafunzo maalum nauwezeshaji kutoka mgodi wa...

    New Content Item (1)
  2. Moto wateketeza maduka saba jengo la UWT

    Maduka hayo ni ya nguo, vifaa vya kuandikia (stationery), nafaka na mahitaji ya nyumbani.

  3. Taasisi ya Flaviana yajenga matundu ya vyoo Shinyanga

    Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mazinge iliyopo Kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga wamejengewa matundu 24 ya vyoo yenye thamani ya Sh58 milioni na Taasisi ya Flaviana Foundation huku...

  4. Sungusungu wapeleka wanafunzi 40 ‘waliokacha’ shule

    Jeshi la jadi la Sungusungu limewafuatilia na kuwapeleka shule wanafunzi 40 wa kidato cha kwanza katika sekondari ya Mwamalili, Manispaa ya Shinyanga baada ya kutoripoti shuleni.

  5. Waandishi wamkumbusha Waziri Nape ahadi magari ya misafara

    Waziri Nape alitoa ahadi hiyo Januari 12, 2022 wakati wa ibada ya kitaifa ya kutoa heshima za mwisho kwa waandishi wa habari watano waliofariki kwa ajali ya gari wakienda kushiriki ziara ya Mkuu...

  6. DC Kishapu aipa jamii wajibu kupiga vita ukatili

    Kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo, kiongozi huyo amewasihi wananchi kushirikiana na Serikali na wadau wengine kuchangia kwa hali na mali utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye maeneo...

  7. Wauguzi Kahama mikononi mwa Baraza la Kitaaluma

    Wauguzi wanane wanaofanya kazi katika vituo vya huduma ya afya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wamefikishwa mbele ya Baraza la Wauguzi na Wakunga Tanzania (TANNA) kutokana na malalamiko kutoka...

  8. Serikali yatoa Sh1.4 bilioni kutekeleza mradi wa EBARR Kishapu

    Wananchi Kishapu wameishukuru Serikali kwa kutoa Sh1.4 bilioni kwaajili ya kutekeleza miradi ya kuhimili mabadiliko ya Tabianchi (EBARR).

    New Content Item (1)
  9. DC Shinyanga aipa kongole Manispaa ukusanyaji mapato

    Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imekusanya zaidi ya Sh5 bilioni, sawa na asilimia 108 ya maengo kufikia Aprili 30, 2023 matarajio yakiwa ni kukusanya zaidi ya Sh6 bilioni ifikapo Juni 30, 2023.

  10. Wazazi walalamikia michango ya rimu ya makaratasi shuleni

    Rimu moja ya karatasi inauzwa kwa bei kati ya Sh15, 000 hadi Sh20, 000 kulingana na ubora, jina la biashara na umbali wa eneo kutoka ama miji mikuu au vituo vya kibiashara nchini.

Previous

Page 4 of 18

Next