DC Shinyanga aipa kongole Manispaa ukusanyaji mapato
Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imekusanya zaidi ya Sh5 bilioni, sawa na asilimia 108 ya maengo kufikia Aprili 30, 2023 matarajio yakiwa ni kukusanya zaidi ya Sh6 bilioni ifikapo Juni 30, 2023.