Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

87 results for Ramadhani Ismail :

  1. Familia sita zavamiwa, wanne wajeruhiwa kwa mapanga Dar

    Familia sita zinazoishi mtaa wa Kwembe Mpakani jijini Dar es Salaam zimevamiwa na vibaka na kujeruhiwa kwa mapanga, huku pia vibaka hao wakiiba mali za familia hizo.

  2. Taso yaiomba Serikali kuwarejeshea majengo, mabanda

    Chama cha Wakulima Tanzania (Taso) kimeiomba Serikali kurejesha umiliki wa majengo na mabanda ya maonyesho ya wakulima Nanenane katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya baada ya Wizara ya...

  3. Msuva aweka rekodi Taifa Stars ikihitimisha kwa sare

    Licha ya Taifa Stars kushindwa kwenda katika hatua inayofuata ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia, imehitimisha mechi zake kwa heshima huku Simon Msuva akiweka rekodi.

  4. KESI YA UHAINI 1985:Tamimu auawa, kesi ya wenzake yaanza-2

    Jana tuliona jinsi mambo yalivyokuwa alipofuatwa nyumbani kwake Kinondoni Mkwajuni na wanausalama, kinara wa mapinduzi, Mohamed Tamimu baada ya kuruka ukuta na kutoroka huku wanausalama...

  5. Ulikuwa mwaka wa tamthilia za kisiasa, misiba mikubwa nchini

    Kwa Paul Makonda, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, mwaka 2020 umekuwa pigo kwake. Alipoteza ukuu wake akiutaka ubunge alioukosa.

  6. Kwa hili la umri Simba wamepiga bao

    MASHABIKI wa Simba na Yanga wamezoeleka kutupiana vijembe kuhusu umri wa wachezaji. Utasikia “jamaa wamesajili wazee, ooh!! Ile ni timu ya wazee, sasa yule si anacheza na wajukuu zake kabisa.”...

  7. Wagombea CCM walivyopita chujio uchaguzi wa 1980

    Kamati ya shughuli za Tanu ilikutana mjini Dar es Salaam Septemba 2, 1980 kwa ajili ya kutayarisha mambo yatakayofikishwa mbele ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM iliyokutana Septemba 8 na 9.

  8. Dodoma Jiji FC yakomba wachezaji Azam, Lipuli, Alliance

    Dodoma Jiji FC imefunga usajili kwa kusajili wachezaji nane wakiwemo wa kutoka Azam, Lipuli, Alliance huku ikiwatema saba katika dirisha dogo la usajili lililofungwa usiku wa kuamkia leo Alhamisi.

  9. Tanzania yajiweka pazuri tenisi Afrika

    Timu ya wasichana wa umri chini ya miaka 14 wa Tanzania, imeifunga Comoro katika mashindano ya Afrika Mashariki na Kati yanayoendelea kwenye viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam.

  10. Miraji kumrejesha Okwi Msimbazi?

    PALE Msimbazi kulikuwa na mfalme mmoja tu. Emmanuel Arnold Okwi. Alifanya alivyotaka na hakukuwepo mtu wa kumchulia hatua za kinidhamu.

Previous

Page 5 of 9

Next