Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

147 results for Alodia Dominick :

  1. Mvuvi aliyefanikisha uokoaji kuajiriwa jeshini

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameagiza kijana Jackson Majaliwa, mvuvi wa Bukoba aliyefanikisha abiria 24 wa ndege ya Precision Air iliyopata ajali kuajiriwa kwenye Jeshi la Zimamoto na...

  2. RC Chalamila atoa ufafanuzi majeruhi ajali ya ndege Bukoba

    Ajali hiyo ya ndege imehusisha ndege aina ya ATR 42-500 ilikuwa ikitoka Dar es Salaam kwenda Bukoba na ilipotaka kutua katika uwanja wa ndege wa Bukoba iliangukia ziwani, mita 100 kutoka ulipo...

  3. Kijana aliyesaidia kuokolewa manusura ajali ya ndege apewa Sh1 milioni

    Majaliwa Jackson, mvuvi aliyefanikisha kuufungua mlango wa ndege na kufanikisha kuokolewa kwa abiria 24 waliokuwa ndani ya ndege ya Precision Air iliyotumbukia Ziwa Vickoria amekabidhiwa Sh1...

  4. Majaliwa awasili kuaga waliofariki ajali ya ndege Bukoba

    Waziri mkuu Kassimu Majaliwa pamoja na viongozi wengine wa kitaifa wamewasili uwanja wa Kaitaba kwa ajili ya kuaga miili ya watu 19 waliofariki jana kwenye ajali ya ndege ya Precision Air.

  5. Waliofariki ajali ya ndege Ziwa Victoria kuagwa leo

    Ajari hiyo ya ndege ilihusisha ndege aina ya ATR 42-500 ilikuwa ikitoka Dar es Salaam kwenda Bukoba na ilipotaka kutua katika uwanja wa ndege wa Bukoba iliangukia ziwani, mita 100 kutoka ulipo...

  6. Majina 19 ya waliopoteza maisha ajali ya ndege haya hapa

    Kesho Jumatatu, Novemba 7, 2022, miili ya watu 19 waliopoteza maisha katika ajali ya ndege ya Shirika la Precision Air, baada ya kuanguka Ziwa Victroria, Bukoba mkoani Kagera, itaagwa katika...

  7. Watu 19 wafariki ajali ya ndege Ziwa Victoria

    Ndege hiyo ya Precision Air ambayo ilikuwa na watu 43 ilikuwa ikitoka Dar es Salaam kwenda Bukoba.

  8. Watatu wafariki, 28 waokolewa ajali ya ndege Ziwa Victoria

    Ndege ya Shirika la Ndege ya Precision Air iliyopata ajali mita 100 ya kutumbukia Ziwa Victoria, mita 100 kabla ya kutua Uwanja wa Ndege wa Bukoba, Mkoa wa Kagera imesababisha vifo vya watu...

  9. Abiria 26 waokolewa ajali ya ndege Ziwa Victoria

    Ndege ya Precision Air ambayo ilikuwa inatoka Dar es Salaam kwenda Bukoba ilipata ajali muda mfupi kabla ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Bukoba.

  10. Moto wazua taharuki Bukoba duka likiteketea

    Moto huo ulianza jana usiku Oktoba 31 muda wa saa 1:30 jioni, japo haukuleta madhara kwa watu jirani na eneo hilo, lakini umeunguza magodoro na bidhaa nyingine ambazo thamani yake haijajulikana.

Previous

Page 7 of 15

Next