Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

71 results for Denis Sinkonde :

  1. DC Ileje apiga marufuku vyandarua kujengea bustani

    Mkuu wa Wilaya ya Ileje, mkoani Songwe, Farida Mgomi ametoa agizo hilo katika maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani

  2. TPHPA kufanya utafiti wadudu walioshambulia mazao ya wakulima Mbozi

    Wataalamu wa kilimo wakishatambua aina ya mdudu huyo, itawarahisishia kutambua viuatilifu vitakavyomuangamiza na wataviainisha ili kuwajulisha wananchi wa maeneo yaliyoathirika

  3. Madiwani Ileje wamtaka DED ajitathimini usimamizi wa miradi

    Ni baada ya kubaini miradi mingi ya maendeleo haijakamilika huku fedha zikidaiwa hazitoshi kuitekeleza.

  4. PRIME Zahanati ya kijiji yafungwa kwa kukosa mhudumu, wananchi wahaha

    Wananchi wakosa huduma za afya, wakilalamika na kuomba Serikali itatue suala hilo haraka

  5. Mwanamke afukuzwa kijijini kwa tuhuma za ushirikina

    Songwe. Mwanamke anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 60, mkazi wa kitongoji cha Ipapa kilichopo kijiji Cha Isongole, wilaya ya Ileje mkoani Songwe amefukuzwa kijijini hapo na wananchi akituhumiwa...

  6. Ileje wajipanga kupambana na udumavu wa watoto

    Watendaji wa Serikali wamejipanga kutoa elimu kwa vitendo kwa wanawake na wanaume kuhusu aina mbalimbali za vyakula rafiki kwa watoto na namna ya kupika

  7. Mawasiliano Ileje-Rungwe yarejea

    Songwe. Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Songwe, umefanikiwa kurejesha mawasiliano ya barabara inayounganisha Wilaya ya Ileje mkoani Songwe na Wilaya ya Rungwe mkoani...

  8. Mvua yakata mawasiliano ya barabara Ileje-Rungwe

    Meneja wa Tanroads Songwe, Mhandisi Suleimani Bishanga amesema tayari timu ya wataalamu wamefika eneo la tukio kwa ajili ya kufungua njia

    New Content Item (1)
  9. Mume, mke mbaroni wakidaiwa kumficha mtoto wa jirani

    Kamanda Hyera amesema wazazi wa mtoto huyo anayesoma darasa la tatu, walitoa taatifa ya kupotea kwa mtoto wao na uchunguzi ulipoanza walimkuta nyumbani kwa watuhumiwa akiwa amefichwa chumbani...

  10. Waogopa kutumia kondomu za kike, wataja sababu

    Agizo hilo limetolewa leo Januari 30, 2024 wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani robo ya pili katika Halmashauri ya Ileje baada ya kuibuka kwa hoja ya wanawake wilayani humo, kuogopa kutumia...

Previous

Page 7 of 8

Next