Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

140 results for Stephano Simbeye :

  1. Songwe yavuka lengo chanjo ya polio

    Jumla ya watoto 282,000 wenye umri chini ya miaka mitano mkoani Songwe wamepata chanjo ya kujikinga na ugonjwa wa polio katika kipindi cha kampeni maalumu ya siku nne.

  2. Magari mawili yatelekezwa yakiwa na bidhaa za magendo

    Magari mawili yaliyokuwa yanasafirisha bidhaa za magendo kutoka Tunduma kuelekea Mbeya yamekamatwa katika mji wa Vwawa wilayani Mbozi mkoani Songwe yakiwa yametelekezwa, baada ya moja aina ya...

  3. Wakamatwa kwa kuazimisha silaha kwa watuhumiwa wa ujambazi

    Watu wawili wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuazimisha silaha kwa mtuhumiwa wa ujambazi.

  4. Watatu wa familia moja wafa wakiwa wamelala

    Watu watatu wa familia moja akiwamo mama mjamzito wamefariki dunia baada ya gema la udongo kuporomoka na kuangukia nyumba waliyokuwa wamelala wilayani Ileje, Mkoa wa Songwe.

    New Content Item (1)
  5. Daladala zagoma Songwe, abiria wahaha

    Madereva wa daladala zinazofanya safari kati ya Mlowo na Tunduma mkoani Songwe wamesitisha huduma za usafirishaji wa abiria wakidai wanasubiri tamko la Serikali la kupandisha nauli.

  6. Wawili wakamatwa wakisafirisha wahamiaji haramu 20

    Madereva wawili wa malori yaliyokuwa yakitoka Dar es Salaam kwenda DRC Congo wamekamatwa mkoani Songwe baada ya kukutwa wakiwasafirisha wahamiaji haramu 20 kutoka Somalia na Ethiopia.

  7. Michezo ya ‘PS’ yawaliza wazazi

    Wadau mbalimbali wametaka michezo ya mitandaoni inayochezwa mitaani maarufu kama ‘Play Stations’ (PS) ipigwe marufuku kwa watoto au kupangiwa muda maalumu.

  8. Wanne wafa, 35 wajeruhiwa ajali ya basi Songwe

    Watu wanne wamefariki na wengine 35 wemejeruhiwa baada ya basi la Kilimanjaro Express kupata ajali eneo la Senjele wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe.

    New Content Item (1)
  9. Basi lapata ajali Songwe

    Basi la kampuni ya Kilimanjaro linalofanya safari kutoka Tunduma kwenda Dar es Salaam limepata ajali maeneo ya Senjele mkoani Songwe.

    New Content Item (1)
  10. Wawili wafariki magari yakigongana na kuwaka moto Mbozi

    Watu wawili wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari mawili likiwamo lililobeba mafuta na kuwaka moto katika ajali iliyotokea maeneo ya Old Vwawa wilayani Mbozi...

Previous

Page 9 of 14

Next