Search

230 results for Mariam Mbwana :

  1. Majaribio uzalishaji umeme Bwawa la Nyerere yaanza rasmi

    Taarifa hiyo kwa umma imetolewa Desemba Mosi, 2023; Tanesco imefafanua kuwa kazi hiyo inahusisha kuunganisha kituo cha umeme cha Chalinze kitakachopokea umeme kutoka JNHPP na gridi ya taifa.

  2. PRIME Miaka 32 ya chukizo hadi wito kwenye ualimu

    Alianza kama mwalimu wa daraja la tatu A, akajiendeleza sasa ni msomi wa shahada na Mwalimu Mkuu katika Shule ya Msingi Tuangoma iliyopo Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam.

  3. Raia wa Ireland avunja rekodi akipika kwa siku nane

    Ikiwa ni miezi sita sasa tangu mpishi maarufu kutoka Nigeria, Hilda Baci kuvunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kupika siku nne mfululizo (saa 100) hatimaye rekodi hiyo imevunjwa na Alan Fisher...

  4. Patrick Mission inavyojikita zaidi kumuandaa mwanafunzi kujiajiri

    Mtaalamu wa Saikolojia, Charles Nduku aliwahi kusema kwa asilimia 70 mtoto huelewa na kujifunza haraka kwa kile anachokiona kwa vitendo.

  5. Kikwete: Wanawake mnaupiga mwingi

    Nderemo na vifijo vimeibuka katika duru la tatu la mahafali ya 53 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) baada ya Mkuu wa Chuo hicho ambaye ni Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Mrisho Kikwete...

  6. Udsm: Tumieni elimu kuleta mabadiliko

    Profesa Anangisye amewakumbusha wahitimu hao kuwa elimu waliyoipata ni mali ya umma hivyo ni lazima ilete faida kwa Watanzania.

  7. PRIME Fahamu ujauzito usiokuwa na mtoto

    Josephine ni miongoni mwa baadhi ya wanawake waliokumbwa na tatizo hili, jambo linalosababisha wengine kupata msongo wa mawazo.

  8. Udsm mwenyeji kongamano la kimataifa, vijana 500 kushiriki

    Takribani vijana 500 kutoka nchi 24 duniani, wanatarajiwa kushiriki kwenye mkutano wa kimataifa wa mabadiliko ya tabianchi, unaotarajiwa kufanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)...

  9. Serikali kutoa ratiba mabasi kusafiri saa 24

    Serikali imetangaza rasmi kutoa ratiba kamili ya mabasi ya mikoani kusafiri saa 24 kuanzia Oktoba 1 mwaka huu baada ya kujiridhisha juu ya uwezo wa polisi kudhibiti usalama katika maeneo mbalimbali.

  10. Kipanga ahimiza matumizi ya teknolojia kufikia viwanda

    Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Omari Kipanga amewataka vijana kutumia maarifa waliyoyapata vyuoni kuleta mabadiliko katika jamii haswa katika uga huo wa teknolojia.

Page 1 of 23

Next