Udsm mwenyeji kongamano la kimataifa, vijana 500 kushiriki
Takribani vijana 500 kutoka nchi 24 duniani, wanatarajiwa kushiriki kwenye mkutano wa kimataifa wa mabadiliko ya tabianchi, unaotarajiwa kufanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)...