Dk Janabi: Watu 132 wawekewa maputo Mloganzila, asilimia 99 ni wanawake
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema hadi kufikia Juni mwaka huu, Hospitali ya Mloganzila imeshawawekea watu 132 maputo tumboni ili kupunguza uzito,...