Search

286 results for Robert Kakwesi :

  1. DED Igunga akamatwa na Polisi

    Kukamatwa kwa Msabila kumekuja siku mbili baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tamisemi, Mohamed Mchengerwa kumsimamisha kazi Novemba 4, 2023.

  2. Takukuru yachunguza watumishi wanaotoza fedha wajawazito

    Watumishi wanaochunguzwa ni kutoka baadhi ya zahanati mkoani Tabora baada ya kulalamikiwa na wajawazito kuwalipisha kuanzia Sh45,000 hadi Sh90,000 ili wapate huduma.

  3. Maofisa usafirishaji, madereva wa Serikali wafundwa kuhusu wajibu

    Maafisa Uendeshaji na Madereva wa Serikali, mamlaka za halmashauri, mashirika na taasisi za Umma wametakiwa kutambua wajibu na kutekeleza dhamana ya ulinzi na matumizi mazuri ya magari...

  4. Wakulima walipwa Sh374 milioni kufidia athari ya mvua

    Hundi ya malipo hayo kwa wakulima kutoka Wilaya za Sikonge, Kaliua na Urambo imekabidhiwa leo Oktoba 25, 2023 baada ya kukata bima ya mazao kupitia Benki ya NMB.

  5. Miili 13 ajali iliyoua 18 Nzega yatambuliwa na kuchukuliwa

    Miili 13 ya watu waliofariki katika ajali ya basi kugongana uso kwa uso na lori la mafuta imetambuliwa na kuchukuliwa huku miili ya watu watano ikiwa haijatambuliwa.

  6. Urasimu watawala taarifa ya ajali iliyoua 18 Nzega

    Upatikanaji wa taarifa za ajali ya basi kugongana na lori na kusababisha vifo vya watu 18 umetawaliwa na urasimu baada ya wahusika kurushiana mpira.

  7. 18 wafariki ajalini Nzega

    Watu wapatao ishirini wamefariki baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori mjini Nzega. Basi lilikuwa likitokea Shinyanga kwenda Dar es Salaam, DC wa Nzega, Naitapwaki Tukai...

  8. Mjamzito ajifungulia nje ya zahanati usiku muuguzi akihofia usalama

    Tukio hilo limetokea Oktoba 16, 2023, baada ya mama mjamzito, Nyanzobhe Katale kufikishwa kwenye zahanati hiyo akiumwa uchungu wa kujifungua lakini akakosa msaada baada ya muuguzi anayeishi...

  9. Rais Samia awaachia vicheko wajasiriamali

    Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan mkoani Tabora imeacha tabasamu na matumaini kwa wajasiriamali wilayani Nzega, baada ya ahadi ya ujenzi wa soko la kisasa eneo la Nzega Parking linalotumiwa na...

  10. Rais Samia ataja fursa za ajira akipigia chapuo Vyuo vya Amali

    Rais Samia yuko katika ziara ya kikazi ya siku tatu mkoani Tabora anakotarajiwa kutembelea, kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo

Previous

Page 2 of 29

Next