Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1449 results for Janeth Joseph :

  1. RC Kagaigai awataka viongozi wa dini kuliombea Taifa

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dk Stephen Kagaigai amewataka waumini na viongozi wa dini kuendelea kuliombea Taifa hasa katika kipindi hiki cha maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19.

    New Content Item (1)
  2. RC Makongoro awataka ma DC kuwachukulia hatua watendaji wabovu

    Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Manyara wameagizwa kuwachukulia hatua watendaji wa vijiji na kata wanaofuja fedha za Serikalini

  3. Wakuu wa Wilaya wapya 2021

    Ahadi imetimia. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Rais Samia Suluhu Hassan jana kutekeleza ahadi yake ya kupangua wakuu wa wilaya aliyoitoa wiki iliyopita na katika uteuzi alioufanya usiku...

  4. Serikali yaja na mkakati uhaba wa mafuta ya kula nchini

    Katika kukabiliana na uhaba wa mafuta nchini, Serikali imesema itasambaza mbegu za alizeti katika vyama vyote vya ushirika na kuziwezesha kampuni kubwa za uchakataji kuongeza uzalishaji.

  5. Mkenda; hakuna uhaba wa sukari

    Serikali imesema hakuna uhaba wa sukari nchini huku ikiwaonya wafanyabiashara kuacha kupandisha bei ya sukari kiholela.

  6. Bosi wa zamani KCBL kizimbani

    Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro imemfikisha mahakamani aliyekuwa mhasibu wa Benki ya Ushirika Kilimanjaro (KCBL),Ombeni Masaidi akikabiliwa na shtaka la...

  7. Mwalimu adaiwa kumpa mimba mtoto wa mwalimu mwenzake

    Mwalimu wa shule ya Sekondari Lugulu iliyopo Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro anadaiwa kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha tatu, mwenye umri wa miaka 17 na kisha kutokomea kusikojulikana.

  8. Meya Raibu awafutia faini madereva bajaji Moshi

    Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu amewaondolea madereva bajaji wa manispaa hiyo faini ya Sh50,000 ya maegesho waliyokuwa wakidaiwa baada ya kuchelewa kulipa fedha ya maegesho ambayo ni...

  9. Mbuzi, kondoo wazua kizaazaa Moshi

    Mbuzi na kondoo wanaozagaa manispaa ya Moshi Mkoa wa Kilimanjaro wametajwa kuwa kero kwa kuharibu miundombinu ya reli na mazingira ya stesheni ya treni.

  10. Meya wa Moshi aagiza Sh3.2 milioni za kununua bastola ya mkurugenzi kurejeshwa

    Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameagiza Sh3.2 milioni zilizotengwa na halmashauri ya manispaa hiyo kwa ajili ya kununua bastola ya mkurugenzi kurejeshwa.

Previous

Page 130 of 145

Next