Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

141 results for Bahati Mwatesa :

  1. Wadaiwa kumshambulia baba wa kambo

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi, linachunguza kisa cha kukatwa mapanga kwa mkulima Salehe Rashidi, amba ye ni mkazi wa Kijiji cha Makangaga, Wilaya ya Kilwa; mkoani hapa, na watu wanaodaiwa kuwa ni...

  2. PRIME Kivumbi uchaguzi chaibua wadau

    Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akisema mwakani kutakuwa na kivumbi cha uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa, wanasiasa na wananchi wa kada mbalimbali wamesema ili kiwe kivumbi cha kweli ni...

  3. DC Liwale awataka wakala wa vipimo kujikuta vijijini

    Mkuu wa wilaya ya Liwale, Goodluck Mlinga, amesema kuwa, Wakala wa Vipimo Mkoa wa Lindi (WMA), kujenga tabia ya kukagua, mizani mara kwa mara hasa maeneo ya vijijini, kwani kumekithiri...

  4. GCLA yatakiwa kusimamia usalama wachimbaji wadogo

    Mkuu wa Wilaya ya Lindi Shaibu Ndemanga, amewataka Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), kusimamia wachimbaji wadogo wa madini kwa kuwafuata na kutoa elimu migoni.

  5. DED Ruangwa mbioni kuwakatia wakulima bima za afya

    Halmashauri ya Ruangwa, mkoani Lindi inatarajia kuanza kwa mchakato wa kuwakatia bima ya afya wakulima wake katika Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ili wapate huduma hiyo kwa uharaka na...

  6. Serikali yaja na mwarobaini bei ndogo kwa wazalishaji chumvi

    Serikali kupitia Shirika la Madini la Taifa (Stamico) imetangaza kuanza ujenzi wa kuchakata chumvi katika Wilaya ya Kilwa ili kupandisha thamani bidhaa hiyo na kuondoa changamoto ya bei ndogo kwa...

  7. 14 mbaroni kufuatia vurugu za wakulima na wafugaji Lindi

    Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga, amesema watu 14 wameshakamatwa, wakiwemo wakulima na wafugaji, kufuatia vurugu zilizotokea siku tatu zilizopita, ambapo inadaiwa mkulima kujeruhiwa...

  8. Huduma ya CT-Scan yaanza kutolewa Hospitali ya Rufaa Sokoine Lindi

    Mganga Mfawidhi, Hospitali ya Sokoine mkoani Lindi, Alexander Makalla amesema kwa mara ya kwanza hospitali hiyo ya rufaa imaeanza kutoa huduma ya CT-Scan huku wagonjwa 28 tayari wametibiwa.

  9. Wakulima waiomba Serikali kutoa ruzuku zao la ufuta Lindi

    Wakulima mkoani Lindi wameiomba Serikali kuwasaidia ruzuku ya pembejeo katika zao la ufuta ili waweze kumudu gharama za viuatilifu hivyo kwa ajili ya kuongeza uzalishaji.

  10. Serikali yakerwa mapigano ya wakulima, wafugaji

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini amesema kuwa serikali hairidhishwi na migogoro ya wakulima na wafugaji inayoendelea kwa baadhi ya mikoa inayosababishwa na mahusiano hasi...

Previous

Page 14 of 15

Next