Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1449 results for Janeth Joseph :

  1. Baba adaiwa kutumia panga kuwaunguza wanawe makalio

    Mkazi wa Kata ya Marangu Mashariki wilayani hapa, Baltazari Mtui anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwaunguza makalio watoto wake wawili wa kiume.

  2. Mume adaiwa kuua mke kisa ng’ombe

    Mkazi wa Kijiji cha Muwara, wilayani hapa Mkoa wa Kilimanjaro, Magdalena Makishe (61) amefariki dunia kwa madai ya kupigwa na mumewe, Zakayo Kimaro anayetuhumiwa kuuza ng’ombe wa kulimia (maksai).

  3. Nyani wageuka kero Rombo

    Madiwani Rombo pamoja wamemwomba Waziri wa maliasili na utalii, Dk Damas Ndumbaro kuangalia namna ya kuondoa nyani Wilayani humo ambao wamekuwa ni tishio kubwa kwa kuwajeruhi watoto wadogo...

  4. Ilichokisema Serikali ya Tanzania kuhusu wawekezaji

    Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Profesa Adolf Mkenda amewataka wawekezaji wa ndani kutumia fursa ya uhitaji wa pembejeo kuongeza uzalishaji.

  5. Vifo vya ajali ya Same vyafikia 11

    Idadi ya vifo vilivyotokea katika ajali ya magari mawili kugongana uso kwa uso Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro vimeongezeka na kufikia 11 baada ya majeruhi mmoja kati ya saba waliolazwa...

  6. Meya Moshi ataka uchunguzi kampuni zisizopeleka michango NSSF

    Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu amemwagiza meneja wa NSSF Mkoa wa Kilimanjaro, Large Materu kuzichunguza hospitali binafsi pamoja na kampuni zisizowasilisha makato ya wafanyakazi wao...

  7. Maiti yasafirishwa kwenye kiroba, familia yachachamaa

    Ukweli ni upi, hili ndio swali kuu baada ya familia ya kijana Setas Tarimo (36) kudai mwili wake ulisafirishwa ukiwa katika mfuko wa sandarusi maarufu kama `kiroba’, lakini waliomsafirisha...

  8. Mawaziri watua mpaka wa Holili sakata la mahindi yaliyozuiwa

    Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Profesa Adolf Mkenda na wa Viwanda na Biashara, Profesa Kitila Mkumbo wamewasili katika mpaka wa Holili wilayani Rombo ambapo baadhi ya watu wanadaiwa...

  9. Mahindi yaliyozuiwa yaondoka na vigogo, RC Kilimanjaro acharuka

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amefanya ziara ya kushtukiza katika mpaka wa Holili wilayani Rombo, na kukuta shehena ya mahindi yakiwa yamepakiwa kwenye magunia eneo la soko la...

  10. Mahindi yaliyozuiwa Kenya kuuzwa nchini

    Wakati tani 432 za mahindi zikikwama katika Mpaka wa Holili wilayani Rombo baada ya zuio la kuingizwa kwa bidhaa hiyo Kenya kwa madai ya sumu kuvu, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira...

Previous

Page 132 of 145

Next